marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
- Thread starter
- #101
***** walahi 😂😂😂Mkuu unajikuta Neo in The Matrix.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
***** walahi 😂😂😂Mkuu unajikuta Neo in The Matrix.
Vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000's vimevamia Jamii Forum.
ukiona onaona watu wengine machizi ujue wewe ndio chizi saa,Hilo ndyo tukio kubwa na lakusikitisha lilitokea alafu anakuja mtu amezaliawa miaka ya 2000s na nadharia ya kijinga. Ila syo kosa lao ni kutofaham mambo yaliyotokea miaka ya 90s,
Wewe kijana uko sahihi sana.ukiona onaona watu wengine machizi ujue wewe ndio chizi saa,
Simulation in the matrix is a very much of a possibility.Matrix
Hahaha The Matrix SioInaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo
December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.
Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
😂😂😂 hii nayo kali sasaInaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo
December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.
Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
Huyu apunguze kuangalia movie 😂😂😂Movie zinakuwehusha sana wewe.
Hii topic ni nzito mno.Comments za wengi zinaprove ukweli uliouandika!!
Watu hawa reason wanabaki kupinga bila reasons!!
Mimi ninaamini GMO (Genetic modified seeds)zimemodify Kila kitu kutuhusu pale tulipokubali mbegu za maabara kama chakula kikuu tunachokula na kulima kila siku!!
Kifupi nakumbuka utoto wetu was miaka ya 90. Na utoto wa Leo was miaka 2000 naona Kuna vitu wanammis Hawa vijana!!
Sisi tulio kwenye industry ya elim na vijana tunaowalea tunaona tuna deal na modified robots!!
Sina tabia ya ku beza maandishi ya kiutafiti na nadharia coz Neva za seli za Bongo zetu Zina operate katika mawimbi tofauti Sana,inategemea wewe ubongo wako Una operate katika frequency zipi!!
Big up mleta mada Uzi was kufikirisha!!
Wizo kwann unatag ex, mchepuko na mumeo kwa wakati mmoja, halafu unitag na wifiyo ili nione madhambi yako 🤣🤣🤣🤣Anything is possible. Siwezi kukataa au kubisha mpaka niliangalie kwa makini sana because i am very open to possibilities. Nizingatie na kujihakikishia kwa upembuzi wa kina.
Lakini kwa manyumbu ya humu yanayojiaminisha kuwa yana akili sana wakati kiuhalisia ni MABUMUNDA YA CHOROKO, ni ngumu kupembua hili swala au kuliwekea viulizo na udadisi.
Manyumbu mengi huwa yanaenda kwa staili ya ufuasi na mkumbo.
Na ndo vile tena unakuta yanazama kwenye kina kirefu na kutafunwa na mamba bila ajizi.
Cc Nyani Ngabu DR Mambo Jambo Extrovert Lamomy mshamba_hachekwi
😹😹😹🙈 Lazima uone venye wifi yako naupiga mwingi mpaka unatobokaWizo kwann unatag ex, mchepuko na mumeo kwa wakati mmoja, halafu unitag na wifiyo ili nione madhambi yako 🤣🤣🤣🤣
Anything is possible. Siwezi kukataa au kubisha mpaka niliangalie kwa makini sana because i am very open to possibilities. Nizingatie na kujihakikishia kwa upembuzi wa kina.
Lakini kwa manyumbu ya humu yanayojiaminisha kuwa yana akili sana wakati kiuhalisia ni MABUMUNDA YA CHOROKO, ni ngumu kupembua hili swala au kuliwekea viulizo na udadisi.
Manyumbu mengi huwa yanaenda kwa staili ya ufuasi na mkumbo.
Na ndo vile tena unakuta yanazama kwenye kina kirefu na kutafunwa na mamba bila ajizi.
Cc Nyani Ngabu DR Mambo Jambo Extrovert Lamomy mshamba_hachekwi
Ujinga wao unashangaza sana 😂Mtu anakuona mwehu kuamini hii conspiracy ila. Yeye anaamini supernatural power 😂😂.
Utofauti wa simulizi za kupasua maji ya bahari na hizi nyingi zina tofauti gani??
Religion is for average mindUjinga wao unashangaza sana 😂
Average mind.Serikali iruhusu tu bangi maana,mtu kama ww inaweza kuwa hujawahi vuta maisha yako ila Kwa ulichoandika hapa watu wataisingizia.
Bangi ni mbaya sana wajameni khaaaa!.Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo
December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.
Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
Kuna mtu alikua mvutaji kama wewe. Sahizi anafungiwa ndani analia kama mbwa daily.Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo
December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.
Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
kwanza hakuna bom la nuclear linaweza kuhalibu 98% ya dunia.!😂😂 jambo lapili are you crazy 😂.!? jambo la 3. what did you feel.?😂 Jambo la4 acha bangiInaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo
December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.
Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.