Dunia iliishia 1999

Dunia iliishia 1999

Hilo ndyo tukio kubwa na lakusikitisha lilitokea alafu anakuja mtu amezaliawa miaka ya 2000s na nadharia ya kijinga. Ila syo kosa lao ni kutofaham mambo yaliyotokea miaka ya 90s,
ukiona onaona watu wengine machizi ujue wewe ndio chizi saa,
 
Anything is possible. Siwezi kukataa au kubisha mpaka niliangalie kwa makini sana because i am very open to possibilities. Nizingatie na kujihakikishia kwa upembuzi wa kina.

Lakini kwa manyumbu ya humu yanayojiaminisha kuwa yana akili sana wakati kiuhalisia ni MABUMUNDA YA CHOROKO, ni ngumu kupembua hili swala au kuliwekea viulizo na udadisi.

Manyumbu mengi huwa yanaenda kwa staili ya ufuasi na mkumbo.

Na ndo vile tena unakuta yanazama kwenye kina kirefu na kutafunwa na mamba bila ajizi.

Cc Nyani Ngabu DR Mambo Jambo Extrovert Lamomy mshamba_hachekwi
 
ukiona onaona watu wengine machizi ujue wewe ndio chizi saa,
Wewe kijana uko sahihi sana.

Huenda hili swala lako lina ukweli au kiasi fulani cha ukweli hususani kwenye dhana ya SIMULATION.

This is a deep topic, hauwezi kueleweka kirahisi kwenye kundi la wajinga.

Ni watu wachache tu tulio na upeo na akili tambuzi ndio tunaweza kulitizama hili swala lako katika jicho la udadisi.

Sijasema kwamba tunalikubali hili swala moja kwa moja, ninasema kwamba swala lako linahitaji kumulikwa na jicho la udadisi.

Cc Pascal Mayalla
 
Simulation in the matrix is a very much of a possibility.

Yaani hapa inawezekana tuko kwenye usingizi wa ajabu sana, tumepigwa na kitu kizito isipokuwa baadhi tumeweza kuamka na kuchungulia.

Siwezi kukataa au kukubali, lazima jicho langu lizunguke nyuzi 360 kama bundi ili nijihakikishie kama unachosema kinaweza kuwa na ukweli au angalau kiasi fulani cha ukweli.

cc Nyani Ngabu DR Mambo Jambo mshamba_hachekwi
 
Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo

December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.

Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
Hahaha The Matrix Sio
 
Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo

December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.

Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
😂😂😂 hii nayo kali sasa
 
Comments za wengi zinaprove ukweli uliouandika!!

Watu hawa reason wanabaki kupinga bila reasons!!

Mimi ninaamini GMO (Genetic modified seeds)zimemodify Kila kitu kutuhusu pale tulipokubali mbegu za maabara kama chakula kikuu tunachokula na kulima kila siku!!

Kifupi nakumbuka utoto wetu was miaka ya 90. Na utoto wa Leo was miaka 2000 naona Kuna vitu wanammis Hawa vijana!!

Sisi tulio kwenye industry ya elim na vijana tunaowalea tunaona tuna deal na modified robots!!

Sina tabia ya ku beza maandishi ya kiutafiti na nadharia coz Neva za seli za Bongo zetu Zina operate katika mawimbi tofauti Sana,inategemea wewe ubongo wako Una operate katika frequency zipi!!

Big up mleta mada Uzi was kufikirisha!!
Hii topic ni nzito mno.

Sasa hawa vikaragosi wanaojadili papuchi 24hrs sitarajii waweze kuelewa uzito wa hii hoja au kuelewa kabisa hoja yote kwa ujumla wake.

Ni wateule wachache tu ndio tunaweza kuliona hili swala kwa kutumia mboni yenye upeo wa juu sana.

Hii simulation ni powerful program, ukifanikiwa kuamka kwenye huu usingizi basi wewe ni bingwa kweli kweli.

It is a DEATH TRAP.
 
Anything is possible. Siwezi kukataa au kubisha mpaka niliangalie kwa makini sana because i am very open to possibilities. Nizingatie na kujihakikishia kwa upembuzi wa kina.

Lakini kwa manyumbu ya humu yanayojiaminisha kuwa yana akili sana wakati kiuhalisia ni MABUMUNDA YA CHOROKO, ni ngumu kupembua hili swala au kuliwekea viulizo na udadisi.

Manyumbu mengi huwa yanaenda kwa staili ya ufuasi na mkumbo.

Na ndo vile tena unakuta yanazama kwenye kina kirefu na kutafunwa na mamba bila ajizi.

Cc Nyani Ngabu DR Mambo Jambo Extrovert Lamomy mshamba_hachekwi
Wizo kwann unatag ex, mchepuko na mumeo kwa wakati mmoja, halafu unitag na wifiyo ili nione madhambi yako 🤣🤣🤣🤣
 
Anything is possible. Siwezi kukataa au kubisha mpaka niliangalie kwa makini sana because i am very open to possibilities. Nizingatie na kujihakikishia kwa upembuzi wa kina.

Lakini kwa manyumbu ya humu yanayojiaminisha kuwa yana akili sana wakati kiuhalisia ni MABUMUNDA YA CHOROKO, ni ngumu kupembua hili swala au kuliwekea viulizo na udadisi.

Manyumbu mengi huwa yanaenda kwa staili ya ufuasi na mkumbo.

Na ndo vile tena unakuta yanazama kwenye kina kirefu na kutafunwa na mamba bila ajizi.

Cc Nyani Ngabu DR Mambo Jambo Extrovert Lamomy mshamba_hachekwi

Mtu anakuona mwehu kuamini hii conspiracy ila. Yeye anaamini supernatural power 😂😂.

Utofauti wa simulizi za kupasua maji ya bahari na hizi nyingi zina tofauti gani??
 
Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo

December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.

Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
Bangi ni mbaya sana wajameni khaaaa!.
Enewei naitwa, Machepele wa Tanzania.
 
Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo

December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.

Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
Kuna mtu alikua mvutaji kama wewe. Sahizi anafungiwa ndani analia kama mbwa daily.
 
Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo

December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.

Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
kwanza hakuna bom la nuclear linaweza kuhalibu 98% ya dunia.!😂😂 jambo lapili are you crazy 😂.!? jambo la 3. what did you feel.?😂 Jambo la4 acha bangi
 
Back
Top Bottom