Dunia ilivyojaa unafiki wanaojifanya wanamsapoti Tundu Lissu na kumdhihaki anapowaita kwenye maandamano!

Dunia ilivyojaa unafiki wanaojifanya wanamsapoti Tundu Lissu na kumdhihaki anapowaita kwenye maandamano!

Pindi anapojitokeza lissu kutoa tamko flani utawaona watu wengi wanajitokeza kujifanya wapo pamoja nae, lakini Lissu anapowaita wamuunge mkono kwenye jambo mfano ni 23/9/2024.

Kila mmoja bila haya wala soni wanamkatalia kweupe kwa kutokuitika wito kuonyesha jinsi walivyo wanafiki hakuna hata kima mmoja aliyesogea pale kituo cha polisi halafu wakishika vifaa vyao vya kuandika wanamng'ong'a kwa kujifanya wapo pamoja nae .

Enyi vijana ni lini mtaacha unafiki wa kujifanya mpo na Lissu ilihali ni wanafiki na waoga.

Ushauri wangu kwakuwa Lissu ni msema ukweli bila kumuogopa mtu wala kumuonea aibu wachane tu wanafiki, ni heri ubaki na sisi wachache tunaokwambia ukweli kuliko kundi la watu wengi wanafiki na waoga ,kura hawakupigii wala kuipigia CHADEMA na maandamano ukiwaita hawatoki barabarani.

Soma Pia: Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani

Utawaona hapa jukwaani kukaza shingo na madole marefu yenye makucha machafu kila dakika kupandisha nyuzi,unafiki ulioje wa kujifanya wanampenda Lissu na CHADEMA.

Lissu dawa ya watu wanafiki kama hawa vijana ni kuwapangusa wengi wao ni mamluki!

Hawana faida kwenye uchaguzi wala maandamano.
Wala Watanzania hawayajayagomea maandamano ila maandamo yalizuiwa na vyombo vya dola kwahiyo uwezi kutoa tathimini yoyote ya maandamano ktk muktadha huo. Watu bado wanaiheshimu na kuitii serikali iliyopo madarakani hatakama hawaipendi kwani inamandate zote za hatima ya maisha yao, watu bado wanaitaji kuishi ili wapate njia nzuri na madhubuti za kufanikisha yale wanayo yataka. Kwahiyo kutojitokeza watu tarehe 23 siyo kuwa Watu waliipuuza CDM ila watu waliitii dola kwa mutadha mzima wa maisha yao na ndivyo watakavyo kuwa hivyo mpaka watakapo ona kuwa hakuna njia nyingine yoyote, ikifika hivyo hawatamsikiliza Mbowe wala Nani.
 
Wala Watanzania hawayajayagomea maandamano ila maandamo yalizuiwa na vyombo vya dola kwahiyo uwezi kutoa tathimini yoyote ya maandamano ktk muktadha huo. Watu bado wanaiheshimu na kuitii serikali iliyopo madarakani hatakama hawaipendi kwani inamandate zote za hatima ya maisha yao, watu bado wanaitaji kuishi ili wapate njia nzuri na madhubuti za kufanikisha yale wanayo yataka. Kwahiyo kutojitokeza watu tarehe 23 siyo kuwa Watu waliipuuza CDM ila watu waliitii dola kwa mutadha mzima wa maisha yao na ndivyo watakavyo kuwa hivyo mpaka watakapo ona kuwa hakuna njia nyingine yoyote, ikifika hivyo hawatamsikiliza Mbowe wala Nani.
sawa zipo njia nyingi za utetezi!
 
Back
Top Bottom