Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji109]sawa cha msingi n kuidandia tu hiyo Nibiru na kusepa nayo[emoji125]
Kapate supu kwanza
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Mkuu hii taarifa si nzuri kwa mzee LOWASSA kabisaaaaaaa, maana ndoto zake za kwenda pale kwenye upepo wa 😛bahari huku akihesabu idadi ya meli zinazosubiri kupakua Mali itakuwa imefutika rasmi teh teh teh😛😛😛
tusipinge sana hata wakati wa nuhu watu walibisha hivyo mm naogopaSasa sisi hiyo story inatuhusu vipi?
Kwanza nimeanza kuzisikia habari hizo tangu mwaka 1993 kuwa kuna lisayari linakuja kuipiga dunia hadi leo story ni hiyo hiyo.
Ndiyo maana napata hisia kuwa hiyo story wala haituhusu sisi.
[emoji473] [emoji473] [emoji473] [emoji473] [emoji470] [emoji470] [emoji470] [emoji475] [emoji475]sawa cha msingi n kuidandia tu hiyo Nibiru na kusepa nayo[emoji125]
Nmejifunza mengi kweny hli swala
[emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji5] [emoji5]Mkuu hii taarifa si nzuri kwa mzee LOWASSA kabisaaaaaaa, maana ndoto zake za kwenda pale kwenye upepo wa 😛bahari huku akihesabu idadi ya meli zinazosubiri kupakua Mali itakuwa imefutika rasmi teh teh teh😛😛😛