Dunia imeisha jamani

Dunia imeisha jamani

Raj kapool

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2018
Posts
1,352
Reaction score
2,160
Hivi man u ni wa kumfunga psg nyumbani tena 3-1 dunia simama nishuke mimi maana ntaona mambo ya ajabu sana[emoji124][emoji124][emoji124]
 
Kama Yanga anaongoza ligi kwa bakuli unashangaa nini kwa Man kumtoa PSG
 
Bora Yanga tunachangishana nje kuliko mnaochangishana ndani, we unamjua mwanachama yeyote wa mikia mwenye hisa Simba? Au mnachangishana na kuchota Pesa kama tulivyokuwa na Manji
Mkuu...wapi nimetaja Simba hapo? au wapi nimelinganisha Simba na Yanga?
Kwa msaada hapo nimetaja Man U...PSG na Yanga.
Sasa hilo LA Simba wewe umelitoa wapi au unataka kunilisha maneno?
 
Mkuu...wapi nimetaja Simba hapo? au wapi nimelinganisha Simba na Yanga?
Kwa msaada hapo nimetaja Man U...PSG na Yanga.
Sasa hilo LA Simba wewe umelitoa wapi au unataka kunilisha maneno?
Vaa miwani ya mbao utaona,bila ivyo huwezi kuona wala kuelewa
 
Hivi man u ni wa kumfunga psg nyumbani tena 3-1 dunia simama nishuke mimi maana ntaona mambo ya ajabu sana[emoji124][emoji124][emoji124]
Usishangae mkuu ndo soka
Mpira hautabiriki hayo yapo enzi na enzi
Nadhan PSG walijiamin sana
 
Na Madrid ni hivyo pia nao walijiamin zaid
Ushindi walioupata na wao ugenin ukawafanya wahis wameshapita.Ila pia lazima tukubali watoto wa ajax walicheza mpira ile siku
 
Back
Top Bottom