Dunia ina majaribu makubwa, ninayopitia sasa ni mateso makali

Dunia ina majaribu makubwa, ninayopitia sasa ni mateso makali

No paragraph, nimesoma nikakabwa pumzi bado na hasira za wewe kua zoba kiasi hicho huku ukisingizia ushirikina as "Excuse".

Vuna ujinga uliopanda mwenyewe hapo kulikua hakuna uchawi and there's no such thing like Uchawi bali ni ulimbukeni wako tu kwenye kufinyiwa kwa ndani
Nashukuru sana barikiwa ndugu,lakini nafikiri wewe ni mwanaume kama mimi je wewe hapo ulipo uko salama? Siku njema
 
Mkuu tafuta njia ya kuyaishi maisha yako. Anza kujiondoa kwa huyo mwanamke. Swala la mtoto liache kwanza ikija kufika hatua amekubali hauko naye, kafungue account benki wewe uwe unaweka pesa ya matumizi ya mwezi bila kuwasiliana.

Tumepewa akili tuzitumie
 
Alaf hiv visababu vya kijinga et ñimezaa nae, sijui mwanangu itakuweje bado mdogo ni upumbavu kabisa kuwaza hvyo wakati unajua haupo sehemu salama. Ebu fikiria na akikuua mwanao ataishije? Ebu jiokoe ili uweze muokoa na mtoto wako
 
Hao ambao wapi vizuri ndio hao wakuja na masharti ya umpende mtoto kuliko yeye[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe nawe khaaaa! haushiwi vijisababu,

Ukipenda boga,penda na ua lake.
 
Hakuna cha Uchawi hapo .

Inaonekana wewe ni mjinga wa level za juu Sana.

Ushamba wa wanawake ndio unakusumbua.

Ndio maana inashauriwa Vijana waanze michezo ya ngono wangali wadogo kabla hawajaoa ili kutokuwa mafala Kama hivi
 
No paragraph, nimesoma nikakabwa pumzi bado na hasira za wewe kua zoba kiasi hicho huku ukisingizia ushirikina as "Excuse".

Vuna ujinga uliopanda mwenyewe hapo kulikua hakuna uchawi and there's no such thing like Uchawi bali ni ulimbukeni wako tu kwenye kufinyiwa kwa ndani

Uchawii ni imani wewe kama huamini ungepita tuu hakukua na haja ya kutamka maneno yote hayo mkuu
 
Kwamba pamoja na kujua yote hayo bado unajiuliza kumuacha? Basi dawa zake bado zinanguvu sana
 
Back
Top Bottom