Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aka Bumbula Beer.Mbunye lager
Ila nasikia wadada wanaipenda sana hii beerDunia Ina lugha nyingi mkuu. Neno ambalo kwako Ni tusi, kwa mwenzio Ni neema..
Sasa hiyo kasi ya dunia hapo iko wap???
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji2]Ila nasikia wadada wanaipenda sana hii beer
Kikwao sio matusiWallah WACHA nilale Kimsingi nimechoka aswa aswa baada kuinywa hii beer ya Kijapan [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
View attachment 1478202
😛😛😛😛Uturuki wana beer yao inaitwa Mbolo
Unadhani kuna mdada asiekuwa na hii beer mkuuKikwao sio matusi
Mkuu kwenye uzi wangu kuna pahala nimeandika kwamba hilo ni tusi???Unadhani Wajapan wamemaanisha ulichokiamini au ulichokifahamu wewe? Dunia ina lugha nyingi,neno ambalo kwako ni tusi linaweza kua na maana nyingine kabisa kwenye lugha nyingine.
Unaitaka mkuu?? ila nimejikuta nimeikumbuka ngoma ya Mopao koffi olomide ya Droit de veto
Kibumbu premium 🍺 beerAka Bumbula Beer.
Wapi nimesema wewe umesema ni tusi?Mkuu kwenye uzi wangu kuna pahala nimeandika kwamba hilo ni tusi???
Karibu K beer mkuuWapi nimesema wewe umesema ni tusi?
Huo ni mfano tu nimetoa,japo watu wazima tumeshajua kilichokuinspire wewe mpaka kufungua thd ya hiyo Beer.