Dunia inaenda kasi, shaurini watoto wenu nini cha kusomea. Kuna baadhi ya kazi zinakwenda kupotea mazima

Dunia inaenda kasi, shaurini watoto wenu nini cha kusomea. Kuna baadhi ya kazi zinakwenda kupotea mazima

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Dunia imeamia kwenye Technology na digital transformation.

Hata kwa upande wa Afya tujiandae.

Sehemu ambayo tulikuwa tunahitaji 10 doctors tutahitaji only two, 15 nurses tutahitaji only 5 , 10 pharmacist tutahitaji only 1, Maabara hatutohitaji yoyote kila kitu kinaenda kuwa automated and programmed with AI, machine learning, Big data analysis, blockchain and internet of things, clouding, robotics. Cybersecurity Language transformation etc

In the near future hatutohitaji kuwa na bank tellers, procurement officers, loan officers, logistic officers, managers etc. Kama Serikali na wananchi mnajiandaa vipi na hizi changes?

Wale wazee wa kuongezewa muda wa kustaafu hadi 65 tutatoboa na hizi changes? Si mnakumbuka tulivyo phase out manual’cars? Then tujiandae.

Wazazi angalieni wapi watoto wafocus zaidi kielimu, msije mkasema hakuna ajira mtaani….. kumbe mmewekeza kwenye elimu ambayo haina tija in next 10 years.

Hapo chini in red ni list ya kazi zinazoenda KUZIKWA so soon na ambazo hazijatajwa.
Blue color ni fast growing job !
f37442f8-041b-4007-8879-f2a0e9bafda4.jpeg

Kwa mfano hiyo Electric Vehicle Specialist ukaamua kubobea kwenye gari za Ulaya tu kama BMW, Benzi, Range etc etc. Utakuwa unawalia pesa matajiri balaa. Then ukaja ku specialize kwenye umeme wa Toyota ukawa Specialist, utakuwa unapiga hela za watu wa kati kama IST, Premio, Rav 4, Vanguaard etc

Au uka specialize kwenye Medical Engenearing and digital integration yaan unakuwa expert wa yale mamitambo ya Hospitals na digital devices zote, utakula hela hadi uchanganyikiwe …. Ishu ni uwe na COMPETENCY? Attitude na Umesomea wapi?

Haya ma course kama Ma MD, ma famasi, nurses zinakwenda kuwa minimal demand so soon.

With AI and robotics ukiweka tu symptoms unapata recommandation ya vipimo vya maabara na diagnosis , na results za maabara zinakuwa interpreted with prescription drugs within a second.. unaenda wash room kukojoa results za maabara unazipatia huko huko kwenye big screen.

Tunakwenda kuongeza wimbi la vijana wasio kuwa na ajira so soon,

tuendelee kusema anaupiga mwingi, ameweza ameshinda.

Take care

Dr Megalodon, PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
 
Dunia imeamia kwenye Technology na digital transformation.

Hata kwa upande wa Afya tujiandae.

Sehemu ambayo tulikuwa tunahitaji 10 doctors …, tutahitaji only two ….15 nurses tutahitajiz only 5 , 10 pharmacist tutahitaji only 1 …. Maabara hatutohitaji yoyote Kila kitu kinaenda kuwa automated and programmed with AI, machine learning, Big data analysis, blockchain and internet of things, clouding,, robotics. Cybersecurity Language transformation etc

In the near future hatutohitaji kuwa na bank tellers , procurement officers , loan officers , logistic officers , managers etc , kama Serikali na wananchi mnajiandaa vipi na hizi changes.??

Wale wazee wa kuongezewa muda wa kustaafu hadi 65 ….. je tutatoboa na hizi changes ? Si mnakumbuka tulivyo phase out manual’cars? Then tujiandae.

Wazazi angalieni wapi watoto wafocus zaidi kielimu, msije mkasema hakuna ajira mtaani….. kumbe mmewekeza kwenye elimu ambayo haina tija in next 10 years.

Hapo chini in red ni list ya kazi zinazoenda KUZIKWA so soon na ambazo hazijatajwa.
Blue color ni fast growing job !
View attachment 3198864
Kwa mfano hiyo Electric Vehicle Specialist ukaamua kubobea kwenye gari za Ulaya tu kama BMW, Benzi, Range etc etc …. Utakuwa unawalia pesa matajiri balaa…. Then ukaja ku specialize kwenye umeme wa Toyota ukawa Specialist ….. utakuwa unapiga hela za watu wa kati kama IST, Premio, Rav 4 , Vanguaard etc

Au uka specialize kwenye Medical Engenearing and digital integration yaan unakuwa expert wa yale mamitambo ya Hospitals na digital devices zote….utakula hela hadi uchanganyikiwe …. Ishu ni uwe na COMPETENCY ? Attitude na Umesomea wapi! ??

Haya ma course kama Ma MD , ma famasi, nurses zinakwenda kuwa minimal demand so soon.

With AI and robotics ukiweka tu symptoms unapata recommandation ya vipimo vya maabara na diagnosis , na results za maabara zinakuwa interpreted with prescription drugs within a second.. unaenda wash room kukojoa results za maabara unazipatia huko huko kwenye big screen.

Tunakwenda kuongeza wimbi la vijana wasio kuwa na ajira so soon,

tuendelee kusema anaupiga mwingi, ameweza ameshinda.

Take care

Dr Megalodon, PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Ushauri wako ni mbovu, katika kazi ambazo zitaendelea kufanywa na binadamu kwa muda mrefu kuliko nyingine kipindi cha mapinduzi ya AI ni udaktari, uuguzi na ufamasia.
 
Kitu ambacho huwa najiuliza hadi sasa sisi kama nchi bado hatujawa tayari kukabiliana na haya mabadiliko.

Sijajua serikali inashindwaje hata kubadili hii mitaala ya elimu kuanzia huku chini kabisa ili vijana waweze kuendana na haya mabadiliko.

Natamani hizi programming language zingeanza kusomwa kihatua kama vile ilivyo mathematics, kwamba primary, tulisoma hesabu, olevel tukaita basics then advance tukaita pure mathematics na chuo tukaita engineering mathematics.

Language kama python endapo gov ingeamua kuitengenezea syllabus nzuri nadhani ingeweza kujigawa katika mtindo wa namna hiyo... Imagine mtu wa software anaenda kuandika line yake ya kwanza ya code akiwa chuo kikuu na hapo utakuta hata HTML tu haijui 😅😅😅.

Ni heri tutengeneze watu wengi wenye uwezo mzuri kwenye technology kwa maana ni rahisi kujiajiri huko, kuliko kutengeneza watu wengi wenye uwezo mzuri wa kufundisha History au Geography, unakutana na mtu anaanza kukupa uchambuzi wa mto Mississippi wakati hajawahi kuuona hata kwa macho, inasaidia nini?

Anyway, wacha inyeshe tuone panapovuja, but pia wazazi ni wakati wa kubadili mindsets zenu, usipeleke mtoto shule ili aje apate pesa alusaidie peleka mtoto shule apate elimu ambayo itamfanya awe exposed na mambo mbalimbali ya ulimwengu na fedha iwe ni matokeo ya mwisho kabisa.
 
Dunia imeamia kwenye Technology na digital transformation.

Hata kwa upande wa Afya tujiandae.

Sehemu ambayo tulikuwa tunahitaji 10 doctors tutahitaji only two, 15 nurses tutahitaji only 5 , 10 pharmacist tutahitaji only 1, Maabara hatutohitaji yoyote kila kitu kinaenda kuwa automated and programmed with AI, machine learning, Big data analysis, blockchain and internet of things, clouding, robotics. Cybersecurity Language transformation etc

In the near future hatutohitaji kuwa na bank tellers, procurement officers, loan officers, logistic officers, managers etc. Kama Serikali na wananchi mnajiandaa vipi na hizi changes?

Wale wazee wa kuongezewa muda wa kustaafu hadi 65 tutatoboa na hizi changes? Si mnakumbuka tulivyo phase out manual’cars? Then tujiandae.

Wazazi angalieni wapi watoto wafocus zaidi kielimu, msije mkasema hakuna ajira mtaani….. kumbe mmewekeza kwenye elimu ambayo haina tija in next 10 years.

Hapo chini in red ni list ya kazi zinazoenda KUZIKWA so soon na ambazo hazijatajwa.
Blue color ni fast growing job !
View attachment 3198864
Kwa mfano hiyo Electric Vehicle Specialist ukaamua kubobea kwenye gari za Ulaya tu kama BMW, Benzi, Range etc etc. Utakuwa unawalia pesa matajiri balaa. Then ukaja ku specialize kwenye umeme wa Toyota ukawa Specialist, utakuwa unapiga hela za watu wa kati kama IST, Premio, Rav 4, Vanguaard etc

Au uka specialize kwenye Medical Engenearing and digital integration yaan unakuwa expert wa yale mamitambo ya Hospitals na digital devices zote, utakula hela hadi uchanganyikiwe …. Ishu ni uwe na COMPETENCY? Attitude na Umesomea wapi?

Haya ma course kama Ma MD, ma famasi, nurses zinakwenda kuwa minimal demand so soon.

With AI and robotics ukiweka tu symptoms unapata recommandation ya vipimo vya maabara na diagnosis , na results za maabara zinakuwa interpreted with prescription drugs within a second.. unaenda wash room kukojoa results za maabara unazipatia huko huko kwenye big screen.

Tunakwenda kuongeza wimbi la vijana wasio kuwa na ajira so soon,

tuendelee kusema anaupiga mwingi, ameweza ameshinda.

Take care

Dr Megalodon, PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Achana na propaganda za wazungu... kwani hiyo AI nani anaitengeneza?
 
Back
Top Bottom