Fika hospitali ya Ocean Road ndio utaelewa vizuri zaidi.We kumbe hamna kitu.
Nipe majukumu ya Mfamasia kwa sasa ndani ya Hosp kwamba asipokuwepo kazi zitasimama ?
Nani Anarekebisha human errors . ??Nani anarekebisha AI errors?
Wanaonya kwanini? Waafrica jamani tunakimbia maendeleo 🤣Japokuwa haijawa confirmed ila wachunguzi watafiti wanadai,itafika kipindi zenyewe zitakuwa na uwezo wa kurekebisha errors na kujifix.
Ndio maana kuna watu wanaonya sana kubusiana na hizi AI, maana ikifikia level hii sijui itakuwaje kwa binadamu.
Nimefanya kazi Ocean for 6 years .Ni nini ambacho sikijui cha Ocean RoadFika hospitali ya Ocean Road ndio utaelewa vizuri zaidi.
Wafamasia wabaki kwenye inspectionUdaktari nakubaliana na wewe kidogo ila ucamasia hapana. Leo hii kule X Ai una upload medical examination results ama vipimo vya daktari, inasoma na kutoa interpretation na kutoa Recommendations za dawa za kutumia.
Kazi ya famasia ni kupendekeza dawa za kutumia, sasa hivi AI zinafanya sema hazijaruhusiwa rasmi ila ukiweka vipimo vyako XIA ya Elon Musk inakupa tafsiri ya magonjwa yako na kupendeza madawa ya kutumia.
Ni sawa na ndio maana tumesemaAI inafanya kazi kubwa sana. Ila kuna kazi ambazo msingi wake lazima awepo mtu. AI itakuwa msaidizi tu kwa huyo mtu ambaye atakuwa mbele. Mfano managerial positions will in 100+yrs to come will be reserved for person being. Hakuna roboti wala terminator atafanya kazi ya kuingoza taasisi so to the court of law
Pia tukumbuke AI inapynguza sana ajira. Chukulia nchi km India au china ktk hiyo projection yako Hali ya ajira itakuwaje? Maana Bora sisi huku hakuna 5g mpka leo na vijijini huko gari tu hazifiki.Ni sawa na ndio maana tumesema
Namba of drs and all that itapungua
Hii itasaidia pia wenye Hospital kupunguza cost za kuajiri watu wengi
Badala ya kuajiri 5 drs… only one and nurse watatosha
Umesoma hiyo article? Kuna series (jina limenitoka) moja jina nimelisahau inazungumzia future ya AI na hiki kitu cha AI kufix chenyewe wameizingumzia.Hamna anaye kataa maendeleo ila lazima kuwe na regulations ya hizi AI.Wanaonya kwanini? Waafrica jamani tunakimbia maendeleo 🤣
Na watu bado wanaenda kuisoma, vijana wako desperate sana.Kitu wanachoitaji ni kusajiunga na masomo ya chuo kikuu haijalishi ni course gani.Ni kichekesho ,Mzumbe mpaka Leo wanatoa degrees za masijala,
Kwani hao madaktari hawakosei?Utakufa vibaya wewe ukiendelea kupewa dawa na AI, siku system itajikoroga iku overdose au ikuchanganyie sumu ndio utajua umuhimu wa mfamasia daktari utakapokuwa umetundikiwa dripu unatolewa sumu.
Italipa sana in the long runHawajui power ya AI..
Nguvu kubwa sana sasa hivi nimeiwekeza kwenye AI ila based na Cyber Security and Digital Forensics.
Mkuu hata china wenyewe wanatuletea bodaboda,hi biashara kwao haipo, bodaboda ni Kwa jail ya nchi zilizo feli kiuchumiMpaka itakapokuja AI ya kuendesha boda boda na kupokea nauli za bukubuku
Usihangaike nae kuna nadharia inaitwa Diffusion of Innovation Theory . Huyo jamaa yupo kundi la Laggards so usishangae.Tupe wako mzuri
Endelea kuendesha manual cars
Auto ni za kike 😹
Hata lissu alipotandikwa risasi kuna mkubwa wizara ya afya nasikia alishauri apelekwe nairobi badala ya mnh, maana mnh tech ni ya kijima, nimelia sana.Tatizo lenu mpo kwenye Ujima…. Everything is programmed. And usome kwa kuelewa….. itapunguza namba….
Kama tunaweza ku sense na ku recognize your face electronically … other senses zimekuwa programmed as well
What is follow up?
Follow up ni record keeping… . All patients records zipo recorded and integrated….
Only one click inakupa feedback
Wewe unaweza kuwa na follow up nzuri zaidi ya softwares? Akil yako inafanya kazi sawa sawa kweli ?
Shida kubwa TZ mmpo nyuma 50 years na mitala ya elimu haiwaandai based on modern technology na hiyo ndio sababu hakuna mtu mwenye hela ataenda kutibiwa kwenye Hosp za TZ. Hata mawaziri wenu wa Afya wanaenda nie why?
Technology inayotumika TZ kwenye treatment ni old version…. I can feel your argument. You are not exposed yet