Dunia inaenda kasi, shaurini watoto wenu nini cha kusomea. Kuna baadhi ya kazi zinakwenda kupotea mazima

Bank tellers kwa bongo bado wanasoko hawataisha Leo mkuu

Ebu kwahyo mimi na degree yangu ya bizness administration kwamba itakufa miaka ijayo? 🤣acha utani basi mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Aaah kumbe upo Canada mwanetu habari za asubuhi maana huku kwetu ni usiku sahivi (unajisikiaje hapo nje 🥶)
Sana sana

Nilikuja kula Xmass Tanzania. Nilishqngaa naenda Bank nakutana na tellers kutoa hela aisee
 
Ni kweli kabisa. Hongera kwao Wahindi waliliona hilo kitambo sana. Wanajitengenezea ajira ya kudumu wao wenyewe
 
Hii ni kweli kabisa
 
Maadam mwanadamu ataendelea kuwepo kwenye uso wa dunia hata kosa cha kufanya kumuwezesha kuishi kwenye ardhi ya dunia hii.
Ile kuzaliwa tu tayari dunia imeshakuandalia ule nini ulale wapi uvae nini hadi utakapo hitimisha mzunguko wako kwenye ardhi hii ya dunia
 
Endeleen kusifia anaupiga mwingi

Kama ulikuwa hujui ni kuwa International schools nyingi wanasoma Codes as part of their lives

Gvt school endeleeni kusema tunamshukuru Maama kwa kutuchimbia choo cha shule

Mkija kuamka it is too late
Wewe acha kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi.
 
😂😂😂😂... Ndio hivyo mkuu, watu wanapata tabu sana katika kutengeneza logics za kiprogramia kwasababu wamechelewa kujifunza na hapo hapo wanakariri ili wasipate sup tu
Hayo mambo ya programming hayafai kwa watu wazima.... kimsingi haya mambo yenye uhusiano na computer yanatakiwa yaanziwe utotoni.
 
Kwangu mimi naona ni vyema mtu ukaanza chukua mashamba mapema, maana chakula hakina mbadala.
 
Wewe jamaa kudiagnose mgonjwa kuna hitaji history physical examination sasa kuna robot anaweza kumuexamine mgonjwa unajua unaongea vitu usivyovifahamu mkuu unaijua vizuri kozi ya afya ??? Robot anaweza kufanya follow up ya mgonjwa clinic
Katika trends za digital transformation kuna vitu kama Big data au big data architecture na Advanced neural machine learning au deep learning. Hivi vitu vinamuondoa daktari kazini, kibongo bongo itachukua muda kwasababu katika trends sisi bado tupo kwenye mobile internet technology, ila kaa ukijua one day utakua replaced na robot.
 
Tulime jama tulime,
Tushinde adui njaa.
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Mkuu kwamba jitu limeonja papuchi za kutosha 😀😀
 
Hizi technology zinaenda ku create mass unemployment
 
Ni kichekesho ,Mzumbe mpaka Leo wanatoa degrees za masijala,
Wao ilimradi tu, mpunga uingie. Haya masuala ya soko la ajira hawana ishu nayo, utajua wewe. Vyuo vingi vinaendelea kuogeza program za mchongo sana
 
Hiyo research imefanyika katika nchi zilizoendelea. Ninyi ambao nchi zenu bado zimelala, teknolojia ya viwango hivyo itafika miaka 300-1,000 ijayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…