Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Kwa kifupi waliobadilisha jinsia kuwa za kike wanataka haki ya kutumia kutumia vyoo vya kike
Wenyendoa za jinsia moja wanalalamika kunyanyaswa na muoka mikate
Wasio na dini wanafundisha yao.
Wanawake wanataka usawa wako kwenye maandamano.
Wakristo wanaonekana kuwa ni tatizo la yote haya kwa kuweka imani yao kwa wote.
Ukisimamia imani yeyote utapingana na wengine.
Yesu alisema asiye na mimi ni mpinzani wangu.