MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hapa hamna ubishi wala nini, kivumbi kitakua baina ya Wakenya na Waethiopia kwenye mbio za Olympic marathon kule Rio mnamo Agosti 21. Mashabiki wote duniani wanasubiri kwa hamu kuona mchuano baina ya hizo team mbili, japo kutakua na wakimbiaji kutokea nchi zingine, ila hao watakua wapambe tu. Lakini lazima tuwe makini na Mganda fulani kutokea kwa jamii ya Wakenya.
Marathon ya wanaume huwa kama hitimisho au fainali ya Olympics.
Mashujaa wa Kenya tunategemea:
Eliud Kipchoge
Stanley Biwott
Kutokea Ethiopia tunaye:
Tesfaye Abera
Eritrea nao hawachelewi, wanaye:
Ghirmay Ghebreslassie
Uganda kuna huyu jamaa mwenye majina ya Kikenya jamani, anaogopesha kiaina:
Stephen Kiprotich
Yote tisa, timu zote hizi za Mashariki mwa Afrika, hivyo ni fahari kwa ukanda huu.
Marathon ya wanaume huwa kama hitimisho au fainali ya Olympics.
Mashujaa wa Kenya tunategemea:
Eliud Kipchoge
Stanley Biwott
Kutokea Ethiopia tunaye:
Tesfaye Abera
Eritrea nao hawachelewi, wanaye:
Ghirmay Ghebreslassie
Uganda kuna huyu jamaa mwenye majina ya Kikenya jamani, anaogopesha kiaina:
Stephen Kiprotich
Yote tisa, timu zote hizi za Mashariki mwa Afrika, hivyo ni fahari kwa ukanda huu.