Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Nimeshawahi kuchapisha bandiko mbalimbali yenye mlengwa wa kuhoji/kupinga vikali uwepo wa Mungu mkuu hoja zangu zilikuwa based on theories nadharia, ufahamu na akili/rational thinking katika kutambua uwepo wa Mungu sikufanikiwa kutambua uwepo wake katika kuyaongoza maisha yetu, ila nimekuja kugundua kuwa kuna mambo hayahitaji uthibitishaji ili uutambue uwepo wake ila ni kukubali kupitia matukio na hali.
Hata sayansi ina mambo ambaya kawaida yanatumia imagination reasoning katika kuconclude/kusolve tatizo mfano mdogo compressional force na tensional force nani amewahi kuziona?
Dini ni mfumo mzuri wa kiusalama kwa wanadamu ili kupunguza zile uncertenity zitakazotokana na hisia na akili za kibinadamu,kawaida unapoitoa dini binadamu anabakia kama kopo tupu au sumaku kila wazo linakuja kichwani mwake ni ubinafsi na kutaka uhuru na madhara yake inakuwa ni kujitanua kwa namna au njia yeyote hapo damu na hata mbinu chafu zitatumika ili kuweza kuyafika malengo.
Dunia inayokuja inapanda mbegu chafu na si salama kwa kizazi kijacho,tunaweza kushuhudia mengi miaka 50 ijayo.
Wazazi kumbuka kuwalea watoto katika misingi ya imani.
Hata sayansi ina mambo ambaya kawaida yanatumia imagination reasoning katika kuconclude/kusolve tatizo mfano mdogo compressional force na tensional force nani amewahi kuziona?
Dini ni mfumo mzuri wa kiusalama kwa wanadamu ili kupunguza zile uncertenity zitakazotokana na hisia na akili za kibinadamu,kawaida unapoitoa dini binadamu anabakia kama kopo tupu au sumaku kila wazo linakuja kichwani mwake ni ubinafsi na kutaka uhuru na madhara yake inakuwa ni kujitanua kwa namna au njia yeyote hapo damu na hata mbinu chafu zitatumika ili kuweza kuyafika malengo.
Dunia inayokuja inapanda mbegu chafu na si salama kwa kizazi kijacho,tunaweza kushuhudia mengi miaka 50 ijayo.
Wazazi kumbuka kuwalea watoto katika misingi ya imani.