Ndio hataki. Anataka afanye kazi na kuzalisha maliHutaki ale?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hataki. Anataka afanye kazi na kuzalisha maliHutaki ale?
HAAHHAAHAHebu yaheshimu matikiti, wewe, vipi?
Waitu kwani ndizi zimekwisha nyumbani?Hutaki ale?
Jamani waacheni hao waliolala usingizi waendelee kulala. Watu wanajitokeza kutoa elimu bure lakini wako watu wanapenda Giza kuliko mwanga. Tuwapuuze tusonge mbeleUwoga wako kama ulishapigwa Pole ila katika hili hakuna mahali utaibiwa kwani hakuna sehemu ya kuombwa senti kipande wewe ni kuspin token basi mwisho wasiku token zako zitathaminishwa katika digital currency utakuwa na uwezo wa kufanya manunuzi ya aina yoyote au kusafiri ila unatakiwa uwe umejiunga kabla ya uzinduzi Machi mwakani ujiingia ndiyo utajua inavyofanya kazi.
Thanks nifanikisha mkuu. But hivi katika yale masaa 24 ya kudig yanapofika inatakiwa udig tena urgently au unaweza delay 2 or 3 hrs mbeleUsihadaike kila kitu cha Pi kinafanyika katika AppView attachment 2063293
Niombe kusema neno moja kwa sasa kuna vitu avizuhiliki kamwe, moja ya hivyo vitu visivyozuilika ni DIGITAL CURRENCY pesa ya mtandaoni Cryptocurrency, ndo habari Duniani aikwepeki, kuna Bitcoin, Ethereal Polkadot, zote hizo ni Crypto digital cash na sasa imekuja Pi Network inakuja kasi kuziangusha zilizopo hivyo.
Kuna hii Pi Network ipokatika hatua za mwisho kuanza kazi lakini hii iko tofauti na mwanzo kwa sasa ina watu karibia milionin 25.
Unachotakiwa nikutengeneza account yako na kila siku baada ya 24hrs unakuwa unabonyeza button ambayo itakuwa inakuingizia point, hizo point zitakuja kuwa token zako ukitaka kununua chochote katika maduka ambayo yamejiunga na Pi Network.
Ukiingia utapata maelezo mengi ila kikubwa jiunge kwanza kwa kufata hii link
Pi Network and use my username (Laureankiiza) as your invitation code.
Ukishindwa kuelewa DM
View attachment 2062214View attachment 2062215
===========UPDATE===========
Soma maelezo
Hivyo usije kudanganyika na website fake kila kitu kinafanyoka katika App.View attachment 2063292
We unaogopa kuwekeza mkuu?Vipi wapiga pesa mtandaoni mmefikisha bilioni ngapi now nasi tujiunge?
Mkuu nipe detail zake unamine vipi na unajiunga vipi. Je mine zake zimeanza kutumika?J
Jiunge kwa kufata link hapu juu ukisha ingia fuata maelezo then njoo DM nikupe maelezo ya kinaMkuu nipe detail zake unamine vipi na unajiunga vipi. Je mine zake zimeanza kutumika?
Mkuu hii Pi inategemea kuingia lini sokoni?Kwa waliojiunga njoo DM tupeane link ya Group la Whatsaap Mimi kama Refarral Team natakiwa kuwajua watu wangu ili kwenye KYC kuna mahali mtahitaji kukutambulisha ndiyo maana kama unakuwa uja Mine mimi naona na ninaweza kukumbusha kwa kutumia PI chat ila mpaka niwe na kujua kuingiza katika hiyo Pi chat.Hivyo tuwasiliane
Tuma iyo link hapa mkuuKwa waliojiunga njoo DM tupeane link ya Group la Whatsaap Mimi kama Refarral Team natakiwa kuwajua watu wangu ili kwenye KYC kuna mahali mtahitaji kukutambulisha ndiyo maana kama unakuwa uja Mine mimi naona na ninaweza kukumbusha kwa kutumia PI chat ila mpaka niwe na kujua kuingiza katika hiyo Pi chat.Hivyo tuwasiliane