putin the small. wameambulia kifo cha mende, eti oooh 24 hrs wanyoshe mikono UKRAIN wameishia wao, kuweka mikia katika ya miguu na kutimua mbio kama fisi.
putin ajenge uchumi awe na hela ndio angalau atatisha, Nuclear hata Kiduku anazo, hivi wewe hapa bongo raia wa mtaani kuna kitu gani cha Urusi kipo dukani zaidii ya VODKA na Batlika. Poleni sana. Au kuna boda boda made in Russia ????
Huyo Jamaa uliyemposi hapo mnafiki sana,, soma kitabu cha Obama , alikuwea anambembeleza Obama mtoto wake aje US kusoma. we unamwita mamba .
*****************************
Nimeona niendelee kukupa habari za propaganda za akina PUTIN, yaani yule Lavrov binti yake kasoma US na London, na PESKOV mshauri maalum wa PUTIN binti yake hivyo hivyo. mke wake na binti yao nenda insta anaitwa Yelizaveta Peskova angalia anavyokula bata Sweden, Belgium, Paris sasa amelaamika hivyo vikwazo vinamfanya asile bata nchi hizol amlauu sana vikwazo sasa labda aende albania, kahzastan.Korea kaskazinii Venenuela etc amekanda sana.
Sasa wazazi wao akina LAVROV na PESKOV wanavyokanddia US na EU hadharani yaani huwezi amini.
View attachment 2415242