Dunia isifikiri Putin akitoka madarakani kwamba misimamo ya Russia itarudi nyuma

Dunia isifikiri Putin akitoka madarakani kwamba misimamo ya Russia itarudi nyuma

putin the small. wameambulia kifo cha mende, eti oooh 24 hrs wanyoshe mikono UKRAIN wameishia wao, kuweka mikia katika ya miguu na kutimua mbio kama fisi.

putin ajenge uchumi awe na hela ndio angalau atatisha, Nuclear hata Kiduku anazo, hivi wewe hapa bongo raia wa mtaani kuna kitu gani cha Urusi kipo dukani zaidii ya VODKA na Batlika. Poleni sana. Au kuna boda boda made in Russia ????

Huyo Jamaa uliyemposi hapo mnafiki sana,, soma kitabu cha Obama , alikuwea anambembeleza Obama mtoto wake aje US kusoma. we unamwita mamba .

*****************************
Nimeona niendelee kukupa habari za propaganda za akina PUTIN, yaani yule Lavrov binti yake kasoma US na London, na PESKOV mshauri maalum wa PUTIN binti yake hivyo hivyo. mke wake na binti yao nenda insta anaitwa Yelizaveta Peskova angalia anavyokula bata Sweden, Belgium, Paris sasa amelaamika hivyo vikwazo vinamfanya asile bata nchi hizol amlauu sana vikwazo sasa labda aende albania, kahzastan.Korea kaskazinii Venenuela etc amekanda sana.

Sasa wazazi wao akina LAVROV na PESKOV wanavyokanddia US na EU hadharani yaani huwezi amini.


View attachment 2415242
aende mbagala kula miguu ya kuku [emoji23]
 
View attachment 2415215
Kuna mwamba mwingine huyu hapa

Russia alone is fighting NATO and the Western world,” Medvedev, who is the deputy head of the nation’s Security Council and the leader of the ruling United Russia party, wrote on his Telegram channel on Saturday.

“We are capable of destroying a mighty enemy or alliances of enemies by ourselves,” the former president stated, adding that during its military activities Moscow is seeking to preserve the lives of its soldiers and civilians.

Medvedev wrote that Russia has not yet used “its full arsenal” of weapons and has not struck “all potential enemy targets.” He added that “there is time for everything.”
This is a Russian
 
Aisee Urusi iheshimike sana... kupigana na mataifa zaidi ya 30 ya NATO si swala dogo
Kwan alipenda ? [emoji23][emoji23] yeye alikuwa anataka kula watoto wa Samia kaishia kulivaa shanging , hana namna akikimbia ana kiba100 na akiipiga show anauza udhaif wake [emoji23][emoji23] wenzio Huko Urusi hali si shwar
 
Mdogo wangu pole sana shida ni shule ndogo
weka vyeti vyako hapa tukuoneshe kuwa hujui , Kama huna hoja acha kudhihaki elimu ya mtu ilihali huijui , ukute huyo jamaa anakuzid elimu ww na ukoo wako wote
 
kwahiyo ile SMO ya Kuvamia Ukraine ni ya kupinga ushoga ? kuna watu mna ukichaa wa kupewa emergency care
Hawa jamaa akili zao wanazijua wenyewe.Hivi na huyu ni ProWest?
Screenshot_20221113-210312.png
 
Silaha anayeitegemea kwa sasa akiacha nukes ni baridi.Sasa hivi Ulaya inaelekea majira ya baridi.Ndio maana alikuwa busy na kuharibu vituo vya kusambazia umeme huko Ukraine. Hili la baridi;Ukraine na washirika wao wakilipatia uvumbuzi basi Urusi hatakuwa na ujanja zaidi kutishia nukes.Manake wamemtight kila mahali🤔
 
Russia ni panya mdogo sana kwa Nato.

Kwa akili ya kawaida tu, Russia awezi kuishinda UK, au Germany, au France, kwa US hapo ata zije Russia 10 hawawezi kushinda sembuse NATO?

Hapo US alisema sasa napeleka wanajeshi wangu Ukraine utasikia Russia ikisema sijui vikosi vya nuclear vijiandae kushambulia.

Yeye Urusi ipambane na Ukraine aliyoichokoza na aache Maneno maneno
😂😂"Kwaakili ya kawaida"
 
Russia ni panya mdogo sana kwa Nato.

Kwa akili ya kawaida tu, Russia awezi kuishinda UK, au Germany, au France, kwa US hapo ata zije Russia 10 hawawezi kushinda sembuse NATO?

Hapo US alisema sasa napeleka wanajeshi wangu Ukraine utasikia Russia ikisema sijui vikosi vya nuclear vijiandae kushambulia.

Yeye Urusi ipambane na Ukraine aliyoichokoza na aache Maneno maneno
Kjana achana na akili ya kawaida sasa fikiria deep... Kwasababu ukichukulia mambo ambayo sio ya kawaida kwa akili ya kawaida utamix madude
 
weka vyeti vyako hapa tukuoneshe kuwa hujui , Kama huna hoja acha kudhihaki elimu ya mtu ilihali huijui , ukute huyo jamaa anakuzid elimu ww na ukoo wako wote
Nakuhakikishia kuwa huna lolote! Hata kama una
Mwenye elimu kubwa ebu fanya attachment ya vyeti vyako tuione hiyo elimu kubwa
Urusi ina historia ngumu tangu uvamizi wa Napoleon Bornapate na kashinda, vita ya tatu ya dunia (battle of Stalingrad) ndipo meza ilipinduliwa ukawa mwisho wa Hitler na mengine mengi sasa unapoi underate Urusi kiasi hicho ulichoandika hata kama wewe ni Pro NATO unaonesha kuwa hukwenda kabisa shule na kama uliweza kupata elimu hata ya kufuta ujinga basi hujaitendea haki.
Unaweza toa hoja humu hata kama umesoma utaonekana bogus kwakuwa unachokisema ni tofauti na dunia inavyosema na kwa namna ulivyoi underate Urusi hata USA au NATO wenyewe hawawezi kubaliana nawe. Kama umesoma toa hoja zinazoendana na elimu yako sasa unaleta hoja ambazo hata darasa la tatu anaidharau halafu tukuache? Ungetoa hoja yenye mashiko wala usingedai cheti humu ndani.
 
Nakuhakikishia kuwa huna lolote! Hata kama una

Urusi ina historia ngumu tangu uvamizi wa Napoleon Bornapate na kashinda, vita ya tatu ya dunia (battle of Stalingrad) ndipo meza ilipinduliwa ukawa mwisho wa Hitler na mengine mengi sasa unapoi underate Urusi kiasi hicho ulichoandika hata kama wewe ni Pro NATO unaonesha kuwa hukwenda kabisa shule na kama uliweza kupata elimu hata ya kufuta ujinga basi hujaitendea haki.
Unaweza toa hoja humu hata kama umesoma utaonekana bogus kwakuwa unachokisema ni tofauti na dunia inavyosema na kwa namna ulivyoi underate Urusi hata USA au NATO wenyewe hawawezi kubaliana nawe. Kama umesoma toa hoja zinazoendana na elimu yako sasa unaleta hoja ambazo hata darasa la tatu anaidharau halafu tukuache? Ungetoa hoja yenye mashiko wala usingedai cheti humu ndani.
kipind chote alipigana na falme moja na dhaifu na bado aliyumbishwa ,Napoleon mpk anafika Urusi huku Ulaya kapigana na majeshi mengi the same kwa Hitler mpk anaivamia Urusi alikuwa anashazivamia nchi nying za Ulaya na kuziteka so alipokuwa anafika Urusi huku nyuma pia anapigana vita nyingine ila Urusi alikuwa anapigana na Ujeeruman tu
 
View attachment 2415215
Kuna mwamba mwingine huyu hapa

Russia alone is fighting NATO and the Western world,” Medvedev, who is the deputy head of the nation’s Security Council and the leader of the ruling United Russia party, wrote on his Telegram channel on Saturday.

“We are capable of destroying a mighty enemy or alliances of enemies by ourselves,” the former president stated, adding that during its military activities Moscow is seeking to preserve the lives of its soldiers and civilians.

Medvedev wrote that Russia has not yet used “its full arsenal” of weapons and has not struck “all potential enemy targets.” He added that “there is time for everything.”
Huyu hana tofauti na Mohammad Saeed al-Sahhaf!
 
ProRussia mnapenda sana ubabe kama alivyo Putin lakini ubabe wenyewe hamuwezi kwenye field.
Putin alitangaza kuichukua Kyiv baada ya siku 3 akipeleka msafara wa vifaru wa kilometa 64 sijui uliishia wapi.
Baadae akatimuliwa kisiwa cha Snake.
Baadae meli yake ya thamani ya kivita ikazamishwa.
Askari wake mamia ya maelefu wamefariki.
Amepata hasara kubwa ya vifaa vyake vingi vya kivita.
Miji iliyojitangazia annexation Ukraine anairudisha.
Sasa hivi sijui mtakuja na lipi jipya.Tumeshachoka na propaganda zenu za kiduanzi[emoji35]
Ubabe mnaouweza ni kwenye maonyesho ya magwaride ya kijeshi na sio kwenye battlefield [emoji848]
US wapo Syria mwaka wa ngapi?
 
Back
Top Bottom