Dunia isifikiri Putin akitoka madarakani kwamba misimamo ya Russia itarudi nyuma

aende mbagala kula miguu ya kuku [emoji23]
 
This is a Russian
 
Aisee Urusi iheshimike sana... kupigana na mataifa zaidi ya 30 ya NATO si swala dogo
Kwan alipenda ? [emoji23][emoji23] yeye alikuwa anataka kula watoto wa Samia kaishia kulivaa shanging , hana namna akikimbia ana kiba100 na akiipiga show anauza udhaif wake [emoji23][emoji23] wenzio Huko Urusi hali si shwar
 
Mdogo wangu pole sana shida ni shule ndogo
weka vyeti vyako hapa tukuoneshe kuwa hujui , Kama huna hoja acha kudhihaki elimu ya mtu ilihali huijui , ukute huyo jamaa anakuzid elimu ww na ukoo wako wote
 
kwahiyo ile SMO ya Kuvamia Ukraine ni ya kupinga ushoga ? kuna watu mna ukichaa wa kupewa emergency care
Hawa jamaa akili zao wanazijua wenyewe.Hivi na huyu ni ProWest?
 
Silaha anayeitegemea kwa sasa akiacha nukes ni baridi.Sasa hivi Ulaya inaelekea majira ya baridi.Ndio maana alikuwa busy na kuharibu vituo vya kusambazia umeme huko Ukraine. Hili la baridi;Ukraine na washirika wao wakilipatia uvumbuzi basi Urusi hatakuwa na ujanja zaidi kutishia nukes.Manake wamemtight kila mahali🤔
 
😂😂"Kwaakili ya kawaida"
 
Kjana achana na akili ya kawaida sasa fikiria deep... Kwasababu ukichukulia mambo ambayo sio ya kawaida kwa akili ya kawaida utamix madude
 
weka vyeti vyako hapa tukuoneshe kuwa hujui , Kama huna hoja acha kudhihaki elimu ya mtu ilihali huijui , ukute huyo jamaa anakuzid elimu ww na ukoo wako wote
Nakuhakikishia kuwa huna lolote! Hata kama una
Mwenye elimu kubwa ebu fanya attachment ya vyeti vyako tuione hiyo elimu kubwa
Urusi ina historia ngumu tangu uvamizi wa Napoleon Bornapate na kashinda, vita ya tatu ya dunia (battle of Stalingrad) ndipo meza ilipinduliwa ukawa mwisho wa Hitler na mengine mengi sasa unapoi underate Urusi kiasi hicho ulichoandika hata kama wewe ni Pro NATO unaonesha kuwa hukwenda kabisa shule na kama uliweza kupata elimu hata ya kufuta ujinga basi hujaitendea haki.
Unaweza toa hoja humu hata kama umesoma utaonekana bogus kwakuwa unachokisema ni tofauti na dunia inavyosema na kwa namna ulivyoi underate Urusi hata USA au NATO wenyewe hawawezi kubaliana nawe. Kama umesoma toa hoja zinazoendana na elimu yako sasa unaleta hoja ambazo hata darasa la tatu anaidharau halafu tukuache? Ungetoa hoja yenye mashiko wala usingedai cheti humu ndani.
 
kipind chote alipigana na falme moja na dhaifu na bado aliyumbishwa ,Napoleon mpk anafika Urusi huku Ulaya kapigana na majeshi mengi the same kwa Hitler mpk anaivamia Urusi alikuwa anashazivamia nchi nying za Ulaya na kuziteka so alipokuwa anafika Urusi huku nyuma pia anapigana vita nyingine ila Urusi alikuwa anapigana na Ujeeruman tu
 
Huyu hana tofauti na Mohammad Saeed al-Sahhaf!
 
US wapo Syria mwaka wa ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…