Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Maywether alitolewa jasho na Yuda, Mosley na Maidana. Pambano lake na Canelo, lilikuwa rahisi maana Canelo alikuwa bado, kulinganisha na ubora aliokuwa nao Floyd.Usiongee hivyo mbele za watu ,watakucheka.
Katika mapambano yalikuwa rahisi zaidi kwa Floyd, basi hili la Floyd na Canelo linaongoza.
Pamoja na hayo Canelo kashinda leo kwa points baada ya kuzichapa kwa round 12.