Ziroseventytwo JF-Expert Member Joined Mar 27, 2011 Posts 8,581 Reaction score 15,618 May 5, 2019 #21 Hance Mtanashati said: Usiongee hivyo mbele za watu ,watakucheka. Katika mapambano yalikuwa rahisi zaidi kwa Floyd, basi hili la Floyd na Canelo linaongoza. Click to expand... Maywether alitolewa jasho na Yuda, Mosley na Maidana. Pambano lake na Canelo, lilikuwa rahisi maana Canelo alikuwa bado, kulinganisha na ubora aliokuwa nao Floyd. Pamoja na hayo Canelo kashinda leo kwa points baada ya kuzichapa kwa round 12.
Hance Mtanashati said: Usiongee hivyo mbele za watu ,watakucheka. Katika mapambano yalikuwa rahisi zaidi kwa Floyd, basi hili la Floyd na Canelo linaongoza. Click to expand... Maywether alitolewa jasho na Yuda, Mosley na Maidana. Pambano lake na Canelo, lilikuwa rahisi maana Canelo alikuwa bado, kulinganisha na ubora aliokuwa nao Floyd. Pamoja na hayo Canelo kashinda leo kwa points baada ya kuzichapa kwa round 12.