Dunia itatushangaa tukishindwa kuilinda SGR

Dunia itatushangaa tukishindwa kuilinda SGR

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.

Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.

Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.

Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.

Dunia itatushangaa sana..
 
Dunia imeshatushangaa mpaka imehitimisha kwamba ndivyo tulivyo. Inasikitisha sana kuona taifa lenye watu wasomi na hadhi wakifanya vituko vya karne.

Tunajenga wenyewe, halafu tunajiibia wenyewe! Kuna kitu lazima hakiko sawa mahali fulani.

Nani alaumiwe - serikali, raia, au serikali na raia kwa pamoja? Au asilaumiwe kabisa mtu yeyote?
 
Risasi hadharani itatoa mwangwi wa sauti kuu kwa wahujumu wengine. Kuleana leana ndo kunaleta haya yote. Ni upumbavu sana kuhujumu miundombinu iwe kwa kutumwa au kwa kujituma mwenyewe
 
Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.

Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.

Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.

Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.

Dunia itatushangaa sana..
Watushangae mara ngapi, wameshazoea ndio way of life ya mtanzania
 
Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.

Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.

Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.

Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.

Dunia itatushangaa sana..
Kwa tabia za kisiwa chenu cha kusadikika mbona linawezekana kabisa mkuu.
 
Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.

Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.

Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.

Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.

Dunia itatushangaa sana..
Mimi ningekuwa Rais ningepitisha adhabu ya kifungo cha maisha au kifo kabisa. Ukitaka kuleta maendeleo kwa binandamu lazima uwe dikiteta wa kweli. Hakuna nchi hapa duniani imepata maendeleo bila kuwa dikiteta. Ona Ujerumani, China, Urusi hata USA walipitia kwenye uongozi wa Kidikteta.
 
Serikali ishirikishe jamii inayozunguka eneo la miundombinu kujua madhara na faida ya mradi, vile vile TRC watoe zawadi nono kwa mtu atakaye fanikisha kukamatwa kwa hawa waalifu kukiwa na ushahidi usio na shaka.
 
Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.

Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.

Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.

Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.

Dunia itatushangaa sana..

mama yenu hayuko serious na hii nchi!

mambo ya kupata nafasi kubwa kwa kudra
 
Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.

Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.

Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.

Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.

Dunia itatushangaa sana..
Tulishindwa kulinda pesa hazina, tutaweza sgr huko polini?wanaotakiwa kulinda ndio wezi wenyewe! Sasa hv kuanzia ikulu mpaka kwenye kata, kumejaa panya road waliovaa suti
 
Jamaa wa chumba chakavu na waya za kopa wanaumezea mate wang'ofoe zile waya pale juu wauze wapate hela hehehe
hii miundo mbinu madhubuti sidhani kama watu wa chuma chakavu wanahusika, yaani wangoe reli auze chuma chakavu, au wachukue mataaluma wabomoe zege watoe nondo zilizomo? au wafungue nguzo za umeme? hujuma either iwe tanesco au reli wenyewe, tukishika mmoja tutoe fundisho kwa wengine
 
yapo mambo ya kipuuzi mfano, mama kuweka mtoto kwenye kile kimeza mbele ya siti, watu kupanda na masanduku makubwa ka majeneza na kulazimisha yakae kwenye keria, kugushi barcode na ticket, kupanda na kupitiliza vituo
 
Mimi ningekuwa Rais ningepitisha adhabu ya kifungo cha maisha au kifo kabisa. Ukitaka kuleta maendeleo kwa binandamu lazima uwe dikiteta wa kweli. Hakuna nchi hapa duniani imepata maendeleo bila kuwa dikiteta. Ona Ujerumani, China, Urusi hata USA walipitia kwenye uongozi wa Kidikteta.
Aisee ni jambo la aibu sana na tutakuwa wajinga kama serikali itatumia matrilioni ya shilingi halafu turuhusu watu wachache wenye ubinafsi kuhujumu Taifa zima.
 
Back
Top Bottom