Dunia itatushangaa tukishindwa kuilinda SGR

Dunia itatushangaa tukishindwa kuilinda SGR

Imeshindikana kulinda mwendokasi ije kuwezekana kuilinda SGR??!!, ni suala la muda tu. A fish rots from the head down
Mwendokasi ni management tu.

Pale hata konda wa dala dala anaweza simamia mradi kwa faida.
 
Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.

Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.

Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.

Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.

Dunia itatushangaa sana..
Biashara ya chuma Chakavu ipigwe marufuku
 
Manaleana majizi
Asilimia kubwa ni majizi sasa nani atamchunga mwenzie
Hela za miradi nusu zinaliwa, mradi ukiisha wengine wanaibuka kuuhujumu tena
Wizi hautaisha nafikiri yule mwamba angekuwepo angesema wajeda walinde
Mswahili anaogopa mjeda kuliko Mungu
 
Ukiziangalia hizi picha, unaona kabisa kuna haja hawa watu wasiwe wanafikishwa mahakamani. Adhabu zitolewe waziwazi ambapo itatoa funzo kwa ambae anafikiria kuyafanya haya yaliyofanyika. Sisi watu weusi tunalaana sana.
 

Attachments

  • IMG-20241111-WA0050.jpg
    IMG-20241111-WA0050.jpg
    107 KB · Views: 2
  • IMG-20241111-WA0049.jpg
    IMG-20241111-WA0049.jpg
    211.7 KB · Views: 2
  • IMG-20241111-WA0036.jpg
    IMG-20241111-WA0036.jpg
    100.2 KB · Views: 2
  • IMG-20241111-WA0034.jpg
    IMG-20241111-WA0034.jpg
    141.1 KB · Views: 2
  • IMG-20241111-WA0035.jpg
    IMG-20241111-WA0035.jpg
    104.6 KB · Views: 2
  • IMG-20241111-WA0048.jpg
    IMG-20241111-WA0048.jpg
    101.5 KB · Views: 2
  • IMG-20241111-WA0047.jpg
    IMG-20241111-WA0047.jpg
    103.3 KB · Views: 2
  • IMG-20241111-WA0046.jpg
    IMG-20241111-WA0046.jpg
    153.9 KB · Views: 2
  • IMG-20241111-WA0038.jpg
    IMG-20241111-WA0038.jpg
    118.2 KB · Views: 2
  • IMG-20241111-WA0033.jpg
    IMG-20241111-WA0033.jpg
    91.5 KB · Views: 2
  • IMG-20241111-WA0030.jpg
    IMG-20241111-WA0030.jpg
    258.3 KB · Views: 2
Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.

Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.

Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.

Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.

Dunia itatushangaa sana..
Ongeeni na hao wafadhali wa chama chenu ambao wengi ndio wameathirika na biashara yao ya mabasi na wengine kati hao ni makada watiifu
 
hii miundo mbinu madhubuti sidhani kama watu wa chuma chakavu wanahusika, yaani wangoe reli auze chuma chakavu, au wachukue mataaluma wabomoe zege watoe nondo zilizomo? au wafungue nguzo za umeme? hujuma either iwe tanesco au reli wenyewe, tukishika mmoja tutoe fundisho kwa wengine
Unawajuwa watu wa vyuma chakavu kweli...hawashindwi kitu
Wakiwalegezea watangoa sana

Ova
 
Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.

Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.

Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.

Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.

Dunia itatushangaa sana..
Dunia ilishatushangaa siku nyingi kwa mambo na miradi lukuki tuliyoshindwa kuisimamia. Nitatoa mifano baadae
 
Ukiziangalia hizi picha, unaona kabisa kuna haja hawa watu wasiwe wanafikishwa mahakamani. Adhabu zitolewe waziwazi ambapo itatoa funzo kwa ambae anafikiria kuyafanya haya yaliyofanyika. Sisi watu weusi tunalaana sana.
Hawa wakikamatwa wawekwe mahali ni kuchapwa fimbo wiki nzima halafu waachiwe waende majumbani kwao.
 
Dunia imeshatungaa mpaka imehitimisha kwamba ndivyo tulivyo. Inasikitisha sana kuona taifa lenye watu wasomi na hadhi wakifanya vituko vya karne.

Tunajenga wenyewe, halafu tunajiibia wenyewe! Kuna kitu lazima hakiko sawa mahali fulani.

Nani alaumiwe - serikali, raia, au serikali na raia kwa pamoja? Au asilaumiwe kabisa mtu yeyote?
Kuna watu Toka Mradi unaanza walikuwa hawaishi kusema kuwa haya ni maendeleo ya vitu na si ya watu na wengine wakiita hii ni white elephant project haitaleta tija. Sasa wanajitahidi kuhakikisha uongo wao unakuwa ukweli kwa mbinu hizi chafu!!! Wenye sane nafsi zinawasuta kwa waliyowaza na kutenda!
 
Kuna watu Toka Mradi unaanza walikuwa hawaishi kusema kuwa haya ni maendeleo ya vitu na si ya watu na wengine wakiita hii ni white elephant project haitaleta tija. Sasa wanajitahidi kuhakikisha uongo wao unakuwa ukweli kwa mbinu hizi chafu!!! Wenye sane nafsi zinawasuta kwa waliyowaza na kutenda!
Waliokuwa wakiupinga ndio wamejazana humo ndani. Wakijipiga selfie.

Uzuri wa hii project. Watu wa kada zote wanautumia.

Matabaka yote yanakusanywa sehemu moja. Wenye nazo wale afadhali na wale wa chini wote wanakuwa kwenye mwavuli mmoja. Inapendeza sana.
 
Siyo wahindi.
Wenye biashara zinazo ingiliana na hii wengi ni watanzania wabantu wenzetu na watanzania waarabu wachache.
We nae wacha kutetea hizo kabachori
Wabantu kwenye hiyo road wameshapata alternative route na zimekubalika sana..

Hao wahindi koko wapo Mjengoni ndio wamekwama route nyingine..

Pay attention.
 
Back
Top Bottom