Watushangae mara ngapi, wameshazoea ndio way of life ya mtanzaniaKuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.
Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.
Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.
Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.
Dunia itatushangaa sana..
Kwa tabia za kisiwa chenu cha kusadikika mbona linawezekana kabisa mkuu.Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.
Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.
Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.
Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.
Dunia itatushangaa sana..
Mimi ningekuwa Rais ningepitisha adhabu ya kifungo cha maisha au kifo kabisa. Ukitaka kuleta maendeleo kwa binandamu lazima uwe dikiteta wa kweli. Hakuna nchi hapa duniani imepata maendeleo bila kuwa dikiteta. Ona Ujerumani, China, Urusi hata USA walipitia kwenye uongozi wa Kidikteta.Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.
Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.
Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.
Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.
Dunia itatushangaa sana..
Kuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.
Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.
Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.
Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.
Dunia itatushangaa sana..
Tulishindwa kulinda pesa hazina, tutaweza sgr huko polini?wanaotakiwa kulinda ndio wezi wenyewe! Sasa hv kuanzia ikulu mpaka kwenye kata, kumejaa panya road waliovaa sutiKuna madai ya hujuma katika mradi wa treni ya umeme SGR.
Ni treni ambayo ipo kwa nchi za Afrika mashariki na kati pekee.
Nilibahatika kuitumia. Kwa kweli ni nzuri Mno.
Kama hizi zinazoitwa Hujuma dhidi ya mradi zitaachwa ziendelee mpaka mradi kushindwa kutoa huduma,itakuwa jambo la aibu.
Dunia itatushangaa sana..
Siyo wahindi.Cluprits si wanajulikana?
Kwanini hawakamatwi?
Hao wahindi koko angekuwa yule mjuba yupo wangehama nchi...
Kumbe Tanzania ni taifa la wasomi na hadhi 😅😅Inasikitisha sana kuona taifa lenye watu wasomi na hadhi wakifanya vituko vya karne.
hii miundo mbinu madhubuti sidhani kama watu wa chuma chakavu wanahusika, yaani wangoe reli auze chuma chakavu, au wachukue mataaluma wabomoe zege watoe nondo zilizomo? au wafungue nguzo za umeme? hujuma either iwe tanesco au reli wenyewe, tukishika mmoja tutoe fundisho kwa wengineJamaa wa chumba chakavu na waya za kopa wanaumezea mate wang'ofoe zile waya pale juu wauze wapate hela hehehe
Akili zako ndogoJamaa wa chumba chakavu na waya za kopa wanaumezea mate wang'ofoe zile waya pale juu wauze wapate hela hehehe
Aisee ni jambo la aibu sana na tutakuwa wajinga kama serikali itatumia matrilioni ya shilingi halafu turuhusu watu wachache wenye ubinafsi kuhujumu Taifa zima.Mimi ningekuwa Rais ningepitisha adhabu ya kifungo cha maisha au kifo kabisa. Ukitaka kuleta maendeleo kwa binandamu lazima uwe dikiteta wa kweli. Hakuna nchi hapa duniani imepata maendeleo bila kuwa dikiteta. Ona Ujerumani, China, Urusi hata USA walipitia kwenye uongozi wa Kidikteta.