Dunia kuwachekea Magaidi wa Taliban kuvamia Ikulu itakuwa na madhara makubwa

Dunia kuwachekea Magaidi wa Taliban kuvamia Ikulu itakuwa na madhara makubwa

Wananchi wa walioungana na talban ni kina nani hao?
Hawa waliojazana airport ya kabul na mpaka wa pakstani wakiitaka kukimbia nchi yao?
Unachuki Sana, huwez kuelewa siasa za Hii dunia
 
Ndo hivyo tena.Wamefanya makubaliano ya amani.Marekani anajitoa anamwachia Taliban.
Naona kuna term inawataka taliban kuwadhibiti al qaeda katika maeneo yaliyo chini ya udhibiti wao.
 
hongeren sn taleban..😅afisa mkuu trafiki
FB_IMG_1629139170886.jpg
 
Deen ya Kweli,Dini ya haki,Deen ya amani
... deen ya kweli, ya haki, ya amani wanaijua Taleban peke yao? Deen ya aina hiyo inawatuma Taleban kukataza wanawake kufanya kazi? Mataifa mengine yote duniani hayaijui deen ya haki isipokuwa Taleban? Acha kutetea ujinga.
 
... deen ya kweli, ya haki, ya amani wanaijua Taleban peke yao? Deen ya aina hiyo inawatuma Taleban kukataza wanawake kufanya kazi? Mataifa mengine yote duniani hayaijui deen ya haki isipokuwa Taleban? Acha kutetea ujinga.
Mnataka watu wote wawe wasenge kama nyinyi waowane jinsia moja na kufirana, huo ujinga haiwezekani
 
Na mtaumia sana ndio ishakua hivyo, wenye nchi washachukua nchi yao pyeeeeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na mtaumia sana ndio ishakua hivyo, wenye nchi washachukua nchi yao pyeeeeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
broo mm ni muislam ila taliban nawachukia.
Dunia ilifaa kuungana kuwaua hawa taliban.
maana dini yetu haijafundisha na hairuhusu ujinga kama wanaofanya wao.
eti umkataze mwanamke kusoma eti umkataze mwanamke kufanya kazi.
kisheria ya dini anaepaswa kumkataza mwanamke asifanye kazi ni mumewe na tena awe na sababu zinazompelekea kumkataza mke asifanye kazi.
TALIBAN MAGAIDI TU NA NAOMBA MUNGU AFRIKA IUNGANE KUTOKUITAMBUA SERIKALI YAO.
 
Nashukuru kwa katibu mkuu wa UN kuitisha mkutano wa dharura na kukemea hili jambo japo wametumia lugha laini sana ni kama wametoa baraka kwa magaidi ya taliban kuingia ikulu kwa unyang'anyi
N
Namshukuru balozi wa kudumu wa umoja wa mataifa nchini pakstani amekemea vikali huu upuuzi wa watu wasiostaarabika kuanzia akili mpaka mazingira yao

Nasikitika sana mataifa makubwa km USA na Uk na Russia wanazungumzia kuondoa raia wao tu lkn hawayakemei haya magaidi ya talban

Kwa siku ya jana tu toka magaidi yateke ikulu kumeanza kuripotiwa uvunjifu wa haki za bunadamu km mauaji ya kulipiza kusasi nk
Km mbakumbuka kipindi haya majamaa yalipokuwa yakitawala serkali zote duniani ziliyakata a isipokua nchi moja au mbili za kiarabu zisizostaarabika
Yalikuwa yamekataza watoto wa kike kusoma,yalikataza kuangalia tv na cinema imagine hawa magaidi wanata nn

Hawa wajinga wanapigana wamevaa makobas bado tunawachekea eti wanapigania dini
What a shame dunia inaelekea wapi?

Umoja wa Afrika inatakiwa itoe statement ya kutoitambua hii Serikali ya magaidi
"Hiyo ni vita ya waarabu na ndugu zao,hatuwezi kuwapambania,hatuwezi kuendelea kumwaga damu ya vijana wetu(USA),kwa ajiri yao,wao wenyewe wamekimbia nchi!sie tufanyeje?
Wapinzani wetu,Russia&China wangependa tuendelee kuwa kwenye vita isiyoisha,sie hatutaki Hilo.
Kama ni kupambana na magaidi,tunaweza kuendelea na operation zetu kama tunavyofanya kwenye nchi zingine,sio lazima tuwe na majeshi kwenye nchi hizo,tunapambana na ugaidi,somalia,Syria,Pakistan,lakini hatuna majeshi huko,mission yetu haikuwa "nation building"ilikuwa kupambana na magaidi wa Alqaida,na Osama,na tulikamilisha Hilo miaka kumi iliyopita"Maneno ya Biden,US presidaa
 
Nashukuru kwa katibu mkuu wa UN kuitisha mkutano wa dharura na kukemea hili jambo japo wametumia lugha laini sana ni kama wametoa baraka kwa magaidi ya taliban kuingia ikulu kwa unyang'anyi

Namshukuru balozi wa kudumu wa umoja wa mataifa nchini pakstani amekemea vikali huu upuuzi wa watu wasiostaarabika kuanzia akili mpaka mazingira yao

Nasikitika sana mataifa makubwa km USA na UK na Russia wanazungumzia kuondoa raia wao tu lkn hawayakemei haya magaidi ya talban

Kwa siku ya jana tu toka magaidi yateke ikulu kumeanza kuripotiwa uvunjifu wa haki za bunadamu km mauaji ya kulipiza kusasi nk
Km mbakumbuka kipindi haya majamaa yalipokuwa yakitawala serkali zote duniani ziliyakata a isipokua nchi moja au mbili za kiarabu zisizostaarabika.

Yalikuwa yamekataza watoto wa kike kusoma,yalikataza kuangalia tv na cinema imagine hawa magaidi wanata nn

Hawa wajinga wanapigana wamevaa makobas bado tunawachekea eti wanapigania dini

What a shame dunia inaelekea wapi?

Umoja wa Afrika inatakiwa itoe statement ya kutoitambua hii Serikali ya magaidi.
Sasa mkuu itabidi ukajinyonge tu...

Kwa naana USIYEMPENDA KAJA! [emoji1787][emoji1787][emoji28]
 
China 🇨🇳 tayari wameshawakubali, ila nadhani Afghanistan 🇦🇫 ndiyo itakuwa Centre ya kupanga uhalifu duniani
 
Nashukuru kwa katibu mkuu wa UN kuitisha mkutano wa dharura na kukemea hili jambo japo wametumia lugha laini sana ni kama wametoa baraka kwa magaidi ya taliban kuingia ikulu kwa unyang'anyi

Namshukuru balozi wa kudumu wa umoja wa mataifa nchini pakstani amekemea vikali huu upuuzi wa watu wasiostaarabika kuanzia akili mpaka mazingira yao

Nasikitika sana mataifa makubwa km USA na UK na Russia wanazungumzia kuondoa raia wao tu lkn hawayakemei haya magaidi ya talban

Kwa siku ya jana tu toka magaidi yateke ikulu kumeanza kuripotiwa uvunjifu wa haki za bunadamu km mauaji ya kulipiza kusasi nk
Km mbakumbuka kipindi haya majamaa yalipokuwa yakitawala serkali zote duniani ziliyakata a isipokua nchi moja au mbili za kiarabu zisizostaarabika.

Yalikuwa yamekataza watoto wa kike kusoma,yalikataza kuangalia tv na cinema imagine hawa magaidi wanata nn

Hawa wajinga wanapigana wamevaa makobas bado tunawachekea eti wanapigania dini

What a shame dunia inaelekea wapi?

Umoja wa Afrika inatakiwa itoe statement ya kutoitambua hii Serikali ya magaidi.
We huna akili kabisa mbona miaka 20 iliyo pita hao Taliban nao walitolewa ikulu
 
broo mm ni muislam ila taliban nawachukia.
Dunia ilifaa kuungana kuwaua hawa taliban.
maana dini yetu haijafundisha na hairuhusu ujinga kama wanaofanya wao.
eti umkataze mwanamke kusoma eti umkataze mwanamke kufanya kazi.
kisheria ya dini anaepaswa kumkataza mwanamke asifanye kazi ni mumewe na tena awe na sababu zinazompelekea kumkataza mke asifanye kazi.
TALIBAN MAGAIDI TU NA NAOMBA MUNGU AFRIKA IUNGANE KUTOKUITAMBUA SERIKALI YAO.
Nyengine ni propaganda tu coz most of media zinafhibitiwa na westerns, hii dunia kuna mambo mengi sana ambayo ni uwongo mtupu, niliona kuna documentary moja ambayo CIA anakiri kuwa moja ya vitu ambavyo wanafundishwa ni UONGO ndio unakuta nchi kama Iraq ilisingiziwa kuwa na silaha za sumu na ikavamiwa na maelfu ya watu kuuwawa na wengine kupotezwa wengine kuwa wakimbizi but lengo la kuivamia nchi ile ilikua ni Dini yao na Oil

Usione wale wote waliopelekwa guatanamo wanamakosa na ww ukaamini hivyo, kuna watu wengi walioteswa mle wameteswa bila ya makosa na documetary zipo ukienda YouTube, kuna askari wa marekani waliacha kazi baada ya kugundua kuwa wametesa watu sana bure na wanajutia mambo hayo


Mkuu usiamini kila unachosikia na kuambiwa
Je vipi Libya democracy ipo mpaka leo tokea ivamiwe?
Je walibya wanafurahiswa na Life yao sasaivi?
 
"Hiyo ni vita ya waarabu na ndugu zao,hatuwezi kuwapambania,hatuwezi kuendelea kumwaga damu ya vijana wetu(USA),kwa ajiri yao,wao wenyewe wamekimbia nchi!sie tufanyeje?
Wapinzani wetu,Russia&China wangependa tuendelee kuwa kwenye vita isiyoisha,sie hatutaki Hilo.
Kama ni kupambana na magaidi,tunaweza kuendelea na operation zetu kama tunavyofanya kwenye nchi zingine,sio lazima tuwe na majeshi kwenye nchi hizo,tunapambana na ugaidi,somalia,Syria,Pakistan,lakini hatuna majeshi huko,mission yetu haikuwa "nation building"ilikuwa kupambana na magaidi wa Alqaida,na Osama,na tulikamilisha Hilo miaka kumi iliyopita"Maneno ya Biden,US presidaa
Mpuuzi ww watu wanataka nchi yao wajitawale ww unaongea pumba hapa
 
Nyengine ni propaganda tu coz most of media zinafhibitiwa na westerns, hii dunia kuna mambo mengi sana ambayo ni uwongo mtupu, niliona kuna documentary moja ambayo CIA anakiri kuwa moja ya vitu ambavyo wanafundishwa ni UONGO ndio unakuta nchi kama Iraq ilisingiziwa kuwa na silaha za sumu na ikavamiwa na maelfu ya watu kuuwawa na wengine kupotezwa wengine kuwa wakimbizi but lengo la kuivamia nchi ile ilikua ni Dini yao na Oil

Usione wale wote waliopelekwa guatanamo wanamakosa na ww ukaamini hivyo, kuna watu wengi walioteswa mle wameteswa bila ya makosa na documetary zipo ukienda YouTube, kuna askari wa marekani waliacha kazi baada ya kugundua kuwa wametesa watu sana bure na wanajutia mambo hayo


Mkuu usiamini kila unachosikia na kuambiwa
Je vipi Libya democracy ipo mpaka leo tokea ivamiwe?
Je walibya wanafurahiswa na Life yao sasaivi?
basi mkuu wacha tuchunguze na tudadavue zaid
 
Back
Top Bottom