KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #21
Hatari sana Sheikh!!Kataa ndoa wameoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana Sheikh!!Kataa ndoa wameoa
Hio Noma sanaMashetani sasaaa😂😂 wao ndo wanajifanya wameshika dini kutwaa status kutupostia Mambo ya dini wakati tunajua Wana pretend 🤣🤣maisha bhana🏃.
Mr Pipa kubwa la majiKaz sina hela sina nimeoa ila sina mke
Basi mimi ni mjinga kuliko wajinga wote dunianikuhusu wajinga na wenye akili inasemekana wajinga hujiona wana akili na wenye akili hujiona wajinga(inasemekana)
Serious, mi jobless pro max kakaWe unayo kazi usituzingue
Kama ni jobless mbona unachelewa kureply commentsSerious, mi jobless pro max kaka
Easy came easy goWithout pain no game,
Wasio na elimu wana Hela wenye elimu hawana hela, education is better than moneyhakika
Anatuigizia hapa jobless hajitangazi km hivyo real jobless hajitangazi hivyoKama ni jobless mbona unachelewa kureply comments
Kaka mchawi bando, ndo Mana nikawa slow😄Kama ni jobless mbona unachelewa kureply comments
Nime sikitika Kaka, mi jobless pro max kweli mzee.Anatuigizia hapa jobless hajitangazi km hivyo real jobless hajitangazi hivyo
Aliyekuoa ana bahati sana aisee!Muhimu kuishi maisha yako bila ya kufuatilia ya wengine
Hack networkKaka mchawi bando, ndo Mana nikawa slow😄
Itabidi akaigize sinema zetu ila huyu sio joblessAnatuigizia hapa jobless hajitangazi km hivyo real jobless hajitangazi hivyo
Oya acha ubansu bansu, mi jobless pro max for real.Itabidi akaigize sinema zetu ila huyu sio jobless
Hutakiwi kuishi kwa kufuatilia mambo ya watu, ila waliotuzunguka kwenye maisha yetu ndio hao walioelezewa na mleta uzi. Elewa tu hao watu wapo, ishi kimachale na binaadamu, usimuamini mtu, jiami mwenyewe.Muhimu kuishi maisha yako bila ya kufuatilia ya wengine
Michongo ni kupambanaOya acha ubansu bansu, mi jobless pro max for real.
👉 We na stow away nipeni mchongo Basi🤒