Dunia simama nishuke; Kijana na Mama yake wanagombania bwana jama!

Mzee Mapenzi

Senior Member
Joined
Jan 9, 2019
Posts
122
Reaction score
439
Hapa kwetu uswahilini, tumeamka na tifu la kufa kuku na vifaranga wake.

Mtoto wa kiume ambae tulihisi tangu mwanzo ya kuwa ni kachumbari ya makafiri, anashikana nguo na mama yake mzazi kisa kibwana ambacho kina umri sawa na hii delicious, ila mama nae anapigwa mikwaju ya nguoni na hiki kijamaa huku kinamkula na kijana mwenzie.

Leo delicious kaamua kumtolea uvivu mama ake baada ya kuvumilia na kushindwa huku akitoa lawama kwa kibenteni kuwa alimwambia mtaro atamfukua yeye na mama ake atamchimba kawaida ila amefuatilia na kugundua mama yake nae analiwa biriani na kijamaa.

Asalaleee!

Uswahilini kunanoga ila sio kwa kutiana gundu ahsubuhi hii jamani, wengine tumekopa pesa za watu tunawakwepaga ahsubuh kwa kudamka ila sasa ugomvi huu utasababisha tukutane na wanaotudai!

Duh Dunia simama nishuke, yani mtoto wa kiume unagombania dudu na mama yako mzazi?

Bora nirudi kwetu Mkundubaro niepuke fedheha za hawa wanaume wa Dar
 
Ukijua kusoma na kuandika raha sana unaruhusiwa kugombea adi ubunge
 
Sidhan kama ni kweli,mama na mtoto ambae analiwa kiboga kugombea bwana mmoja huyo ni mama wa aina wa gani ?
Kama anatoka usiku akiwa amejipodoa na Mama yake anamwangalia, na ahsubuh anarudi akiwa na wigi kichwani, kwanini isitokee wakagombea bwana anaelala na kuamkia kwa mama ake?
 
Hata huyo mama na 'binti yake' nao ni wahamiaji hapa Dar, kwa asili ni wenyeji wa Mkundubaro. Tafadhali unapotoka, toka nao.
Mkundubaro wanatoka watu makini na safi licha ya kuwa huku chakula chetu ni nyani na tunaogaga mara moja kwa mwezi, hatujui pesa kanisa na mavazi yetu ni ngozi za nyani.

Narudi kwetu peke yangu, naawaacha na Dar yao
 
Kama anatoka usiku akiwa amejipodoa na Mama yake anamwangalia, na ahsubuh anarudi akiwa na wigi kichwani, kwanini isitokee wakagombea bwana anaelala na kuamkia kwa mama ake?
Wanadai ni shoga yan huyo kijana analiwa
 
Huu uzi usipojaza comments 300-700 leo hii naomba mnikumbushe maana hizi ni habari pendwa sana kwa TZ yetu ya vi"wonder"[emoji87]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…