ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 749
- 2,533
Kuna fukuto kubwa la kutoweka Amani duniani. Vita na tetesi za Vita zimetamapakaa duniani.
Eneo la mashariki ya kati ni la moto. Kila taifa sasahivi linajiimarisha kiulinzi. Dunia inapitia kipindi kigumu sana. Kila kukicha kuna tukio la habari mbaya.
Dunia haitapata Amani tena. Uchumi wa dunia umeharibika. Kila mahali umaskini na kupanda kwa gharama za maisha kunaongezeka. Viongozi wa dunia sio Wacha Mungu tena.
NOTE: Kuweni makini, hii dunia imeondoka. Mtafuteni Mungu kabla Mambo hayajaharibika sana. Maasi yameongezeka sana.
Eneo la mashariki ya kati ni la moto. Kila taifa sasahivi linajiimarisha kiulinzi. Dunia inapitia kipindi kigumu sana. Kila kukicha kuna tukio la habari mbaya.
Dunia haitapata Amani tena. Uchumi wa dunia umeharibika. Kila mahali umaskini na kupanda kwa gharama za maisha kunaongezeka. Viongozi wa dunia sio Wacha Mungu tena.
NOTE: Kuweni makini, hii dunia imeondoka. Mtafuteni Mungu kabla Mambo hayajaharibika sana. Maasi yameongezeka sana.