😂Kila siku wanasema dunia inaisha afu huyo mtu anakula ugali na kulala kwa shemeji yakeDunia haijawahi kutulia wakati wowote., kila wakati Huwa ni vurugu tu! Hayo maneno yako Huwa yanatumiwa na wafiadini kujifariji kwamba wanakaribia kuvuna matunda Yao huku Karne na Karne zikiendelea kupita!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hahaha noma sanaDunia haijawahi kutulia wakati wowote., kila wakati Huwa ni vurugu tu! Hayo maneno yako Huwa yanatumiwa na wafiadini kujifariji kwamba wanakaribia kuvuna matunda Yao huku Karne na Karne zikiendelea kupita!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hakuna wakati vita vimewahi kuisha duniani, ila vimepungua kwa kiwango kikubwa sana, pia umaskini umepungua kwa kiwango kikubwa sana kwa kadri ya muda ambavyo umekuwa ukiendelea.Kuna fukuto kubwa la kutoweka Amani duniani. Vita na tetesi za Vita zimetamapakaa duniani.
Eneo la mashariki ya kati ni la moto. Kila taifa sasahivi linajiimarisha kiulinzi. Dunia inapitia kipindi kigumu sana. Kila kukicha kuna tukio la habari mbaya.
Dunia haitapata Amani tena. Uchumi wa dunia umeharibika. Kila mahali umaskini na kupanda kwa gharama za maisha kunaongezeka. Viongozi wa dunia sio Wacha Mungu tena.
NOTE: Kuweni makini, hii dunia imeondoka. Mtafuteni Mungu kabla Mambo hayajaharibika sana. Maasi yameongezeka sana.