Dunia ya kwanza(USA) F shuleni Finaanzia 59 kushuka chini, sisi F inaanzia 29 kushuka chini

Dunia ya kwanza(USA) F shuleni Finaanzia 59 kushuka chini, sisi F inaanzia 29 kushuka chini

Kwanza huwezi kulinganisha grades bila kuangalia supply ya maswali kwenye mitihani, hili lipo technical sana ila naamini utakuwa umenielewa.

Halafu pia, F huashiria FAILURE kama ilivo ainishwa hapo, ni hivi, 50 kwenye mtihani wenye marks 100 haiwezi kuwa counted F kwa viwango vya kawaida (Standard), 50/100 means half cooked, kitaalamu inaitwa Diploma, so nini kinaendelea wapo?

Huenda basi, kwenye marks 100 mtihani ukawa 20% theoritical the less practical, na wanafahamu kama wanafunzi wapo 100% facilitated, sisi bongo wanachofanya wenzetu kwenye theory na practical sisi tunafanya kwenye paper tu [emoji16]

Pili, hata hapa TZ, kuna baadhi ya shule ushindani wa grades za wanafunzi shuleni unashindanishwa kipekee sana tofauti na shule nyingine.
 
Watanzania siyo wa kuwaamini kabisa.

Juzi hapa walikuwa bize kuisifia kenya kwa kuwa wamefuta mitihani....

Leo tunawasifia Marekani kwasababu F ni 59..

Kwahiyo tuhitimishe kwa lipi sasa??
 
Kule hata wakiandikiwa F opportunities zipo.

Huku kwetu F automatically psychological torture inaanza. Kwamba umefeli. Unaonekana kilaza tu huna maana utaishia kuwa kibaka tu.

Kule wana accesss na second chances kibao za kutusua maishani bila hata kufaulu kupitia elimu. Kwetu ufaulu wa kimaisha unakuwa judged kupitia shule.

System yetu ina shida mahali.
Umeandika tu.


Je,ni kweli mafanikio ya kimaisha yapo shuleni?
 
Watanzania siyo wa kuwaamini kabisa.

Juzi hapa walikuwa bize kuisifia kenya kwa kuwa wamefuta mitihani....

Leo tunawasifia Marekani kwasababu F ni 59..

Kwahiyo tuhitimishe kwa lipi sasa??
Una uhakika ni watz walewale?
 
Kule hata wakiandikiwa F opportunities zipo.

Huku kwetu F automatically psychological torture inaanza. Kwamba umefeli. Unaonekana kilaza tu huna maana utaishia kuwa kibaka tu.

Kule wana accesss na second chances kibao za kutusua maishani bila hata kufaulu kupitia elimu. Kwetu ufaulu wa kimaisha unakuwa judged kupitia shule.

System yetu ina shida mahali.
Bahati mbaya au nzuri, huku kwetu nako uhusiano wa shule na mafanikio unazidi kupotea.
 
kwakweli hili suala linafikirisha sana. Marekani high school alama F inaanzia 59 kushuka ambayo huku ni C ya kibabe sana. Huku F inaanzia 29, yaani mtu akipata 30 kafaulu. hata logic inakataa, mtu aliyepata chini ya nusu anakuwaje kapata!!? Nafikiri ubora wa wasomi wetu unaanzia hapa.

View attachment 2122317View attachment 2122318View attachment 2122319

We unaishi Bongo au US?

Kama ni Bongo labda uache kuigiza ukumbuke tu maisha yetu yalivyo kuanzia village na mazingira ya home plus shule

Usipende kufananisha vitu visivyofanana wala kukaribiana
 
Solution ndiyo kushusha grades za ufaulu?

Zimewekwa grades kwa hadhi yetu na level ya maisha plus quality ya elimu yetu.

Umewahi kujua hata parameters za ubora wa maji ya kunywa kati ya Tz na WHO ni tofauti kiasi flani?? Unajua hilo??
 
Zimewekwa grades kwa hadhi yetu na level ya maisha plus quality ya elimu yetu.

Umewahi kujua hata parameters za ubora wa maji ya kunywa kati ya Tz na WHO ni tofauti kiasi flani?? Unajua hilo??
Wala tusilete visingizio vya maisha na mazingira kwa ku determine grades, elimu haipo hivo, sisi alama zetu ni kama za uingereza, je nao wana maisha kama yetu?
 
We unaishi Bongo au US?

Kama ni Bongo labda uache kuigiza ukumbuke tu maisha yetu yalivyo kuanzia village na mazingira ya home plus shule

Usipende kufananisha vitu visivyofanana wala kukaribiana
Huo ni uzembe. Kama mnapata elimu na wataalamu wa kiwango cha chini kwa kusingizia umaskini, unategemea mtatoka kwenye huo umaskini. Uzembw mkubwa.
 
Ni sawa kwao, sababu wana zana na technolojia zote za kufundishia...
 
kwakweli hili suala linafikirisha sana. Marekani high school alama F inaanzia 59 kushuka ambayo huku ni C ya kibabe sana. Huku F inaanzia 29, yaani mtu akipata 30 kafaulu. hata logic inakataa, mtu aliyepata chini ya nusu anakuwaje kapata!!? Nafikiri ubora wa wasomi wetu unaanzia hapa.

View attachment 2122317View attachment 2122318View attachment 2122319
Mtoa mda umeongea jambo zuri lakini tambua kila nchi ina mfumo wake wa kielimu na grading system pia nikupe mfano mdogo nakumbuka nilipokuwa enzi za secondary (1-4) nilipata kufundishwa na walimu (2) mahiri kweli kweli kutoka nchi za uingereza na marekani. mwingereza alikuwa akitufundisha physics na mmarekani alikuwa akitufundisha Chemistry, huyu mmarekan background education alikuwa ni mhitimu wa bacherol degree ya Doctor of pharmacy ( Bpharm) katika chuo kikuu cha huko marekani na huyu mwingine mwalimu wa physics alikuwa na bacherol degree ya nuclear physics aliyoipata katika chuo kikuu cha huko uingereza.

Hawa wote kila mmoja katika nafasi yake ya ufundishaji walipata kusema elimu ya kitanzania ni ngumu sana ina mambo mengi ambayo kama mwalimu unahitajika hupate kuwa fundisha wanafunzi
akatuchombolea mtihani mmoja kutoka international tuufanyr kama weekly test alishangaa tulivyo faulu kwa kiwango cha juu sana.
Grade A ya kwao huwenda kwetu ikawa ndio C may be.... usipime grading system ndio kama chanzo cha ubora wa elimu

laiti kama tungekuwa tunasoma vitu vinavyofanana na grading system sawa ningesema kweli sisi wa bongo hatuna akili hila akili tunazo sana tena kuzidi wao tunakosa vitendea kazi
 
Mtoa mda umeongea jambo zuri lakini tambua kila nchi ina mfumo wake wa kielimu na grading system pia nikupe mfano mdogo nakumbuka nilipokuwa enzi za secondary (1-4) nilipata kufundishwa na walimu (2) mahiri kweli kweli kutoka nchi za uingereza na marekani. mwingereza alikuwa akitufundisha physics na mmarekani alikuwa akitufundisha Chemistry, huyu mmarekan background education alikuwa ni mhitimu wa bacherol degree ya Doctor of pharmacy ( Bpharm) katika chuo kikuu cha huko marekani na huyu mwingine mwalimu wa physics alikuwa na bacherol degree ya nuclear physics aliyoipata katika chuo kikuu cha huko uingereza.

Hawa wote kila mmoja katika nafasi yake ya ufundishaji walipata kusema elimu ya kitanzania ni ngumu sana ina mambo mengi ambayo kama mwalimu unahitajika hupate kuwa fundisha wanafunzi
akatuchombolea mtihani mmoja kutoka international tuufanyr kama weekly test alishangaa tulivyo faulu kwa kiwango cha juu sana.
Grade A ya kwao huwenda kwetu ikawa ndio C may be.... usipime grading system ndio kama chanzo cha ubora wa elimu

laiti kama tungekuwa tunasoma vitu vinavyofanana na grading system sawa ningesema kweli sisi wa bongo hatuna akili hila akili tunazo sana tena kuzidi wao tunakosa vitendea kazi
Mh!

Sidhani!

Tatizo kubwa ukienda kusoma kwao ni jinsi walivyo up to date. Utashangaa kugundua kuwa nadharia ambazo tunafundishana huku huko kwao walishaachana nazo au walishazifanyia marekebisho tayari. Na kusoma kweli wanasoma siyo lelemama!

Mtihani wangu wa kwanza huko nilipata 86 mwanaume nikajipiga kifua kuwa nimeondoka na A. Kuangalia mwisho wa pepa nakuta sijui ni C+ na comments kibao profesa ana wasiwasi hatari kama nitatoboa. Aisee nilihaha sana huyoo nikarundikiwa mavitabu ya kusoma kwanza. Nawaambia mambo tunayosoma huku wanashangaa "mbona hiyo nadharia ni ya miaka ya 60 huko? Bado mnafundishwa hii huko Tanzania?.." yaani wanaitana kabisa kuonyeshana.

Usinikumbushe mateso niliyopitia aisee. Ila sema maprofesa wao wako very friendly. Yaani ukienda kwenye office hours anakuelewesha sawasawa mpaka unaelewa halafu ni kama mshikaji tu yaani japo wengine pia ni wabaguzi...
 
Zikiwekwa standard kama hizo watu watakuwa serious sana na shule
Ila tulipo kwa sasa standardisation inayofanyika ni kushuka chini ili ufaulu uwongezeke
 
Back
Top Bottom