Dunia yaamka dhidi ya Marekani na Umoja wa Mataifa

Dunia yaamka dhidi ya Marekani na Umoja wa Mataifa

Kosugi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2019
Posts
16,166
Reaction score
25,197
Kuelekea mzozo kati ya Gaza na Israel mataifa mengi ya Amerika Kusini,Afrika na Asia yanaungana na Hamas na kudai kuwa sera za USA ni onevu na kandamivu na baadhi ya mataifa yakitaka kusitisha mahusiano ya kidiplomasia na Israel.

Mathalan Gustavo Petro rais wa Colombia amemtaka balozi wa Israel aondoke Colombia na akidai kuwa Israel inachokifanya dhidi ya Palestina ni sawa na utawala wa Nazi Germany.

Big names zingine kama Clare Short (waziri Wa maendeleo ya kimataifa wa zamani wa Uingereza) Jeffrey Sachs(USA political analyst) na Jin Ping wakisema kuwa Dunia isisahau chanzo kikuu ni unyang'anyi wa ardhi was Israel na kuiwekea kibano Cha maji,anga na mipaka Gaza na kutoitambua Palestine kama taifa huru na kisipotatuliwa kamwe Israel haiwezi kuwa na amani maana hata wapelestina wamenyimwa amani.

Huku Afrika mataifa ya Afrika magharibi mathalani Mali wanawataka UN wafungashe virago waondoke huku majirani zao wakiendelea na mkakati huohuo was kuwataka UN waondoke.

Je hili ndiyo anguko la UN na UN kuonekana ni chombo Cha kimataifa butu?!

Vyanzo; CGTN, BBC, ALJAZEERA.

Sina haja ya kuweka video tafuteni hayo majina Kesha mtapata walichosema.
 
Vita haina ma ho, kwanza israel na palestina (waarabu) hao wote ni makatiri, palestina kaua raia wasio na hatia, na muisrael na anaua ovyo ovyo bila kuangalia raia ...

Kwa hyo hupaswi kutetea yoyote yule, wote makatiri... Na wote chanzo ya wifo vingi huko mashariki ya kati
 
Vita haina ma ho, kwanza israel na palestina (waarabu) hao wote ni makatiri, palestina kaua raia wasio na hatia, na muisrael na anaua ovyo ovyo bila kuangalia raia ...

Kwa hyo hupaswi kutetea yoyote yule, wote makatiri... Na wote chanzo ya wifo vingi huko mashariki ya kati
Mimi siungi mkono yeyote ila hiyo kauli waambie USA na EU inayolazimisha Hamas watambulike kama magaidi.
 
Mataifa gani hayo yanayounga HAMAS. ambayo yanafahamika ni IRAN, na mataifa mengine ya uarabuni. Lakini
Marekani - Israel
India - Israel
Ulaya yote - Israel

Afrika na baadhi ya Nchi duniani hatuna upande. Hata Tanzania haina upande.

Ndio maana UN hawawezi kuingia kwa sababu Sehemu kubwa haijachagua upande, na wanaosapoti Hamas ni waarabu wenzao tu. Kitu kingine Hamas kikundi na si nchi hivyo ni ngumu kuungwa mkono, pili tayari wamejulikana kama kikundi cha magaidi kutokana na kuteka watu nyara na kuuwa watu kwenye tamasha la mziki na maeneo mengine. Kumbuka Israel yeye kasema apigani na palestina bali anapigana na Hamas, ambao wameanzisha shambulizi
 
Gaidi ni mtu yoyote ambae anaua raia bila ya hatia.. Kwa hyo hamasi ni magiadi tu
Hujui maana ya gaidi rudi ukasome.
Wakati huo kabla ya Hamas kufanya mashambulizi una habari kuwa Israel settlers walikua wakipiga watu risasi kule Ramallah occupied westbank????
Hivyo Hamas wamejitetea nadhani hapo utajua nani gaidi halisi.
Hujui maana ya gaidi rudi ukasome.
 
Hujui maana ya gaidi rudi ukasome.
"Gaidi" ni neno la Kiswahili linalomaanisha "mshirika wa kikundi cha kigaidi" au "magaidi." Magaidi ni watu au vikundi vinavyofanya shughuli za kigaidi, ambazo mara nyingi zinajumuisha matumizi ya nguvu, vurugu, au vitendo vingine vya kigaidi kwa lengo la kisiasa, kidini, au ideolojia fulani. Neno hili linaweza kutumika kumaanisha watu au makundi yoyote yanayojihusisha na shughuli za kigaidi ikiwemo kuua na kuteka watu.


Kwa tafsiri hiyo HAMAS ni magaidi
 
Mataifa gani hayo yanayounga HAMAS. ambayo yanafahamika ni IRAN, na mataifa mengine ya uarabuni. Lakini
Marekani - Israel
India - Israel
Ulaya yote - Israel

Afrika na baadhi ya Nchi duniani hatuna upande. Hata Tanzania haina upande.

Ndio maana UN hawawezi kuingia kwa sababu Sehemu kubwa haijachagua upande, na wanaosapoti Hamas ni waarabu wenzao tu. Kitu kingine Hamas kikundi na si nchi hivyo ni ngumu kuungwa mkono, pili tayari wamejulikana kama kikundi cha magaidi kutokana na kuteka watu nyara na kuuwa watu kwenye tamasha la mziki na maeneo mengine. Kumbuka Israel yeye kasema apigani na palestina bali anapigana na Hamas, ambao wameanzisha shambulizi
Umekurupuka sana kwenye kuandika Wacha nikuelekeze.
Hamas ni political organization iliyoanzishwa baada ya kuanguka PLO(Palestina liberation organization).
Na Hamas sio tu kikundi Cha kijeshi ni kikundi Cha harakati cha za kisiasa na kimesajiliwa mpaka umoja was mataifa.
COLOMBIA,SOUTH AFRICA,VENEZUELA,NI MIONGONI MWA MATAIFA YANAYOUNGA MKONO HARAKATI ZA HAMAS.
KAISOME HAMAS UITAMBUE CHIMBUKO LAKE
 
"Gaidi" ni neno la Kiswahili linalomaanisha "mshirika wa kikundi cha kigaidi" au "magaidi." Magaidi ni watu au vikundi vinavyofanya shughuli za kigaidi, ambazo mara nyingi zinajumuisha matumizi ya nguvu, vurugu, au vitendo vingine vya kigaidi kwa lengo la kisiasa, kidini, au ideolojia fulani. Neno hili linaweza kutumika kumaanisha watu au makundi yoyote yanayojihusisha na shughuli za kigaidi ikiwemo kuua na kuteka watu.


Kwa tafsiri hiyo HAMAS ni magaidi
Unaelezea kitenzi kwa kutumia nomino yake pasi na kuichambua hiyo nomino kwanza.
UGAIDI NI KITENDO CHA MTU AU KIKUNDI KUANZISHA VURUGU KWA MLENGWA WA DINI AMA SIASA .
GAIDI NI MTU ANAEANZISHA VURUGU KWA MLENGWA WA KIDINI AMA SIASA.
UNAZUNGUKA SANA.
Israel ndio gaidi kwa kutumia settlers wake wiki mbili kabla ya mashambulizi kupiga wapalestina risasi occupied westbank.
Israel ndie gaidi kwa kuanzisha vurugu westbank kwa minajili yake ya kidini na kisiasa ya wayahudi.
Hamas ilichofanya ni kujitetea dhidi ya matendo ya kigaidi yanayofanywa Toka nyuma na wayahudi na IDF.
 
Kwa kauli hii unamaanisha islael nao ni magaidi
Israel hawezi kuwa Gaidi kwa sababu kwanza kabla ya kufanya shambulio anawapa onyo watu kuondoka maeneno yatakayoshambuliwa kwa maana ya kuwa anawataarifu watu juu ya shambulio hivyo waondoke wasije kupatwa na madhara.

Gaidi yeye atoi taarifa, akiwakuta anawamiminia risasi. Ndio kilichofanywa na HAMAS kwenye lile tamasha la mziki.
 
Umekurupuka sana kwenye kuandika Wacha nikuelekeze.
Hamas ni political organization iliyoanzishwa baada ya kuanguka PLO(Palestina liberation organization).
Na Hamas sio tu kikundi Cha kijeshi ni kikundi Cha harakati cha za kisiasa na kimesajiliwa mpaka umoja was mataifa.
COLOMBIA,SOUTH AFRICA,VENEZUELA,NI MIONGONI MWA MATAIFA YANAYOUNGA MKONO HARAKATI ZA HAMAS.
KAISOME HAMAS UITAMBUE CHIMBUKO LAKE
Wewe kweli ndio zwazwa na umekurupuka. Unasema HAMAS ni political organization na sio kikundi cha kijeshi... Sasa kama sio kikundi cha kijeshi wanaingia vitani na kumimina risasi kwa sababu zipi... Huo ndio Ugaidi tunaousemea hapa, yani unakiita kikundi cha siasa huku kinamiliki makombora na risasi na vifaa vya kivita. Ni sawa na Chadema wamiliki makombora alafu wauwe watu alafu uje utetee kwamba ni chama tu cha siasa... Au hujui kazi za political organization.

Hamasi ni Magaidi wanaojificha nyuma ya siasa na agenda yao kuu ni Palestina iwe dora inayotawaliwa kiislamu kama Iran
 
Israel hawezi kuwa Gaidi kwa sababu kwanza kabla ya kufanya shambulio anawapa onyo watu kuondoka maeneno yatakayoshambuliwa kwa maana ya kuwa anawataarifu watu juu ya shambulio hivyo waondoke wasije kupatwa na madhara.

Gaidi yeye atoi taarifa, akiwakuta anawamiminia risasi. Ndio kilichofanywa na HAMAS kwenye lile tamasha la mziki.
NARUDIA TENA.
TOKA MWEZI WA 9 ISRAEL SETTLERS WALIKUA WAKIPIGA RISASI RAIA WA PALESTINA HUKO RAMALLAH.
IDF ILIKUA IKICHAFUA MAJI NA KUVUNJA NYUMBA ZA WAPALESTINA HUKO JENIN.
HIVYO KWA MINAJILI YA UGAIDI ISRAEL NDIO GAIDI.
HAMAS IME RETALIATE BAADA YA HAYO MATENDO
 
Wewe kweli ndio zwazwa na umekurupuka. Unasema HAMAS ni political organization na sio kikundi cha kijeshi... Sasa kama sio kikundi cha kijeshi wanaingia vitani na kumimina risasi kwa sababu zipi... Huo ndio Ugaidi tunaousemea hapa, yani unakiita kikundi cha siasa huku kinamiliki makombora na risasi na vifaa vya kivita. Ni sawa na Chadema wamiliki makombora alafu wauwe watu alafu uje utetee kwamba ni chama tu cha siasa... Au hujui kazi za political organization.

Hamasi ni Magaidi wanaojificha nyuma ya siasa na agenda yao kuu ni Palestina iwe dora inayotawaliwa kiislamu kama Iran
SOMA UELEWE MDOGO WANGU.
NIMEKUANDIKIA HAMAS SIO TU KIKUNDI CHA KIJESHI BALI PIA NI POLITICAL ORGANIZATION.
UMEIELEWA HIYO KAULI????
Hilo unasema wewe.
Kama mngeitamvua Palestina toka 1947 kipindi inatetewa na PLO haya yasingetokea.
Halafu tofautisha kati ya political party na political organization.
 
Unaelezea kitenzi kwa kutumia nomino yake pasi na kuichambua hiyo nomino kwanza.
UGAIDI NI KITENDO CHA MTU AU KIKUNDI KUANZISHA VURUGU KWA MLENGWA WA DINI AMA SIASA .
GAIDI NI MTU ANAEANZISHA VURUGU KWA MLENGWA WA KIDINI AMA SIASA.
UNAZUNGUKA SANA.
Israel ndio gaidi kwa kutumia settlers wake wiki mbili kabla ya mashambulizi kupiga wapalestina risasi occupied westbank.
Israel ndie gaidi kwa kuanzisha vurugu westbank kwa minajili yake ya kidini na kisiasa ya wayahudi.
Hamas ilichofanya ni kujitetea dhidi ya matendo ya kigaidi yanayofanywa Toka nyuma na wayahudi na IDF.

Acha kutetea upumbavu wanajilindaje na kujitetea dhidi ya IDF kwa kumiminia watu walioko kwenye tamasha la mziki risasi na kisha wengine kuwateka nyara... hivi unafahamu kweli jinsi ya kujitetea? Magaidi wowote lengo lao kuu linaanza kwa kuwauwa raia, ili kutuma taarifa kwenye mamlaka ndivyo alivyokuwa anafanya Osama... Wanasajili chama cha siasa au kampuni kumbe ndani yake ni ugaidi
 
Acha kutetea upumbavu wanajilindaje na kujitetea dhidi ya IDF kwa kumiminia watu walioko kwenye tamasha la mziki risasi na kisha wengine kuwateka nyara... hivi unafahamu kweli jinsi ya kujitetea? Magaidi wowote lengo lao kuu linaanza kwa kuwauwa raia, ili kutuma taarifa kwenye mamlaka ndivyo alivyokuwa anafanya Osama... Wanasajili chama cha siasa au kampuni kumbe ndani yake ni ugaidi
KABLA HUJAONGEA HUO UJINGA WAKO ULITAKIWA UJIULIZE JE ISRAEL ISINGEVUNJA NYUMBA JENIN NA KUCHAFUA MAJI WA PALESTINA JE HAYA YANGETOKEA,
WATOTO WADOGO MIAKA 5 MPAKA 7 HUKO WEST BANK WAMEKAMATWA NA IDF NA KUWEKWA JELA,WAYAHUDI WALIOJENGEWA NYUMBA KARIBU NA JENIN WAMEKUA WAKIPIGA WAPALESTINA RISASI.
UTAKUA FALA KIASI GANI KUTETEA ISRAEL PASI NA KUTIZAMA KUWA WAO WALIANZA
 
SOMA UELEWE MDOGO WANGU.
NIMEKUANDIKIA HAMAS SIO TU KIKUNDI CHA KIJESHI BALI PIA NI POLITICAL ORGANIZATION.
UMEIELEWA HIYO KAULI????
Hilo unasema wewe.
Kama mngeitamvua Palestina toka 1947 kipindi inatetewa na PLO haya yasingetokea.
Wewe ndio uelewi maana ya Political organization mdogo wangu... Political organization sio Military Organization... Uwezi ukawa na political organization alafu ukamiliki risasi na makombora... Neno political lenyewe linabeba neno mashauriano, lengo kuu la politics ni sera za kuongea, kama ni political organization walitakiwa watumie majukwa ya kisiasa na si kumwaga damu...

Sio jukumu langu kuitambua Palestina, ni jukumu la U.N na U.N inaitambua Palestina na ndio maana wana rais wao. Huko west bank
 
"Gaidi" ni neno la Kiswahili linalomaanisha "mshirika wa kikundi cha kigaidi" au "magaidi." Magaidi ni watu au vikundi vinavyofanya shughuli za kigaidi, ambazo mara nyingi zinajumuisha matumizi ya nguvu, vurugu, au vitendo vingine vya kigaidi kwa lengo la kisiasa, kidini, au ideolojia fulani. Neno hili linaweza kutumika kumaanisha watu au makundi yoyote yanayojihusisha na shughuli za kigaidi ikiwemo kuua na kuteka watu.


Kwa tafsiri hiyo HAMAS ni magaidi
Uki-degine kitu usirudie jina la hicho kitu ndani ya definition yako
 
Afrika hakuna mataifa Kuna upuuzi.... Sasa Afrika na USA wapi na wapi.
 
Back
Top Bottom