Dunia yaamka dhidi ya Marekani na Umoja wa Mataifa

Dunia yaamka dhidi ya Marekani na Umoja wa Mataifa

Mataifa gani hayo yanayounga HAMAS. ambayo yanafahamika ni IRAN, na mataifa mengine ya uarabuni. Lakini
Marekani - Israel
India - Israel
Ulaya yote - Israel

Afrika na baadhi ya Nchi duniani hatuna upande. Hata Tanzania haina upande.

Ndio maana UN hawawezi kuingia kwa sababu Sehemu kubwa haijachagua upande, na wanaosapoti Hamas ni waarabu wenzao tu. Kitu kingine Hamas kikundi na si nchi hivyo ni ngumu kuungwa mkono, pili tayari wamejulikana kama kikundi cha magaidi kutokana na kuteka watu nyara na kuuwa watu kwenye tamasha la mziki na maeneo mengine. Kumbuka Israel yeye kasema apigani na palestina bali anapigana na Hamas, ambao wameanzisha shambulizi
Wenye sauti UN ni wale wenye veto power tu basi.
 
Pia Wacha nikuongezee maarifa.
MWAKA 1947 PALESTINA IKIWA CHINI YA UINGEREZA ILIGEWA SHARTI YA KUPEWA UHURU KWA KUMKUBALI ISRAEL NA KUMMEGEA ARDHI NA KUITAMBUA ISRAEL KAMA TAIFA.
PALESTINA IKAFANYA HIVYO ILA EU NA USA ILIKATAA KUITAMBUA PALESTINA KAMA TAIFA HURU.
GAZA IKAWEKEWA UKUTA IKANYIMWA HAKI YA KUMILIKI UWANJA WA NDEGE HAKI YA KUMILIKI MPAKA WA MAJI NA HAKI YA KUMILIKI MPAKA WA ARDHI.
KATAFUTE RAMANI YA PALESTINA NA ISRAEL YA 1947,1948,1967 NA 2006.
NDIO URUDI HAPA TUBISHANE USINIJIE UKIWA NA ELIMU FINYU
Unabishana na mtu ambaye sio mdadisi wa mambo....ni mkurupukaji tu...madhila wanayofanyiwa Palestine toka 1948 watu hawataki kabisa kuyaona....wao wanacheki makosa ya upande mmoja....hata upataji wa taarifa wao wanachukua upande mmoja bila kujiongeza na kutafuta vyanzo vingine vya habari pia wapime mizania....inasemwa Hamas wameua watu na kuteka watu pia...kiukweli si jambo zuri kabisa na halikubaliki na wanaitwa magaidi....Sasa na Hawa wanaojibu nao jeshi la Israel wao ndo wanaenda mbali zaidi kwa kupiga majengo hovyo na kuua raia wasio na hatia mostly wakiwemo watoto na wanawake mpk wazee...Sasa unajiuliza Ina maana watoto na wazee nao ni magaidi au....wanaishia kusema ni human shield...majibu mepesi kabisa na ya kipumbavu....halafu walivyokuwa washenzi kwlikwli walisema kuna watoto 40 wamekatwa vichwa na Hamas wanaulizwa ushahidi uko wpi wakaishia kusema ni taarifa ambayo sio sahihi...watu wamepotezea na hili...mpk hapo imeshajulikana kuna uongo mwingi juu ya hili jambo na wanajaribu kutumia vyombo vya habari sana kupindisha mambo ila watu wameshaanza kujua ukweli....hawatakaa wafanikiwe kamwe....Dunia ya Sasa sio ya miaka 70 ilopita....utakachokifanya hapohapo kitajulikana hata ukifiche vp
 
Hujui maana ya gaidi rudi ukasome.
Wakati huo kabla ya Hamas kufanya mashambulizi una habari kuwa Israel settlers walikua wakipiga watu risasi kule Ramallah occupied westbank????
Hivyo Hamas wamejitetea nadhani hapo utajua nani gaidi halisi.

Hamas ni magaidi. Hawana tofauti na ISIS
 
Kuelekea mzozo kati ya Gaza na Israel mataifa mengi ya Amerika Kusini,Afrika na Asia yanaungana na Hamas na kudai kuwa sera za USA ni onevu na kandamivu na baadhi ya mataifa yakitaka kusitisha mahusiano ya kidiplomasia na Israel.

Mathalan Gustavo Petro rais wa Colombia amemtaka balozi wa Israel aondoke Colombia na akidai kuwa Israel inachokifanya dhidi ya Palestina ni sawa na utawala wa Nazi Germany.

Big names zingine kama Clare Short (waziri Wa maendeleo ya kimataifa wa zamani wa Uingereza) Jeffrey Sachs(USA political analyst) na Jin Ping wakisema kuwa Dunia isisahau chanzo kikuu ni unyang'anyi wa ardhi was Israel na kuiwekea kibano Cha maji,anga na mipaka Gaza na kutoitambua Palestine kama taifa huru na kisipotatuliwa kamwe Israel haiwezi kuwa na amani maana hata wapelestina wamenyimwa amani.

Huku Afrika mataifa ya Afrika magharibi mathalani Mali wanawataka UN wafungashe virago waondoke huku majirani zao wakiendelea na mkakati huohuo was kuwataka UN waondoke.

Je hili ndiyo anguko la UN na UN kuonekana ni chombo Cha kimataifa butu?!

Vyanzo; CGTN, BBC, ALJAZEERA.

Sina haja ya kuweka video tafuteni hayo majina Kesha mtapata walichosema.
Ukiacha Iran hakuna yeyote aliyeungana Hamas .unaongea uongo kama hujui.
 
Hamas ni magaidi wanatumia watu kama ngao,wanahifadhi na kutumia siraha katika makazi ya watu!Wapigwe,sagwe!Magaidi ni watu wabaya!muungwana angeanza kuwalaani hawa anayewatetea ni gaidi pia!
 
Hamas ni magaidi wanatumia watu kama ngao,wanahifadhi na kutumia siraha katika makazi ya watu!Wapigwe,sagwe waishe!Magaidi hawana nafasi duniani.muungwana angeanza kuwalaani hawa anayewatetea ni gaidi pia!
Hizo ni sababu za uongo.
Mpakani na Lebanon wamepiga gari la waandishi wa habari bomu wamepiga ambulance 16 mabomu je humo pia kulibebwa magaidi???
Ukisemacho wewe ni kama kile cha 2006 IDF inapiga kombora Beirut akati Hezbollah wapo kusini mwa Lebanon shebaa farms na bint jubeir.
Israel wakikandamizwa katika mapigano hudhohofisha upinzani kwa kuwaumiza raia wao kama hilo unapinga kamanda was majeshi ya IDF alisema Lebanon iizuie hizbollah isiingie vitani laa sivyo itaua raia wake bila kusita.
Hapo unasemaje kwa hiyo kauli???!!!
 
Mataifa gani hayo yanayounga HAMAS. ambayo yanafahamika ni IRAN, na mataifa mengine ya uarabuni. Lakini
Marekani - Israel
India - Israel
Ulaya yote - Israel

Afrika na baadhi ya Nchi duniani hatuna upande. Hata Tanzania haina upande.

Ndio maana UN hawawezi kuingia kwa sababu Sehemu kubwa haijachagua upande, na wanaosapoti Hamas ni waarabu wenzao tu. Kitu kingine Hamas kikundi na si nchi hivyo ni ngumu kuungwa mkono, pili tayari wamejulikana kama kikundi cha magaidi kutokana na kuteka watu nyara na kuuwa watu kwenye tamasha la mziki na maeneo mengine. Kumbuka Israel yeye kasema apigani na palestina bali anapigana na Hamas, ambao wameanzisha shambulizi
Majirani hapo north washachagua side yao kitambo tu
 
Kuelekea mzozo kati ya Gaza na Israel mataifa mengi ya Amerika Kusini,Afrika na Asia yanaungana na Hamas na kudai kuwa sera za USA ni onevu na kandamivu na baadhi ya mataifa yakitaka kusitisha mahusiano ya kidiplomasia na Israel.

Mathalan Gustavo Petro rais wa Colombia amemtaka balozi wa Israel aondoke Colombia na akidai kuwa Israel inachokifanya dhidi ya Palestina ni sawa na utawala wa Nazi Germany.

Big names zingine kama Clare Short (waziri Wa maendeleo ya kimataifa wa zamani wa Uingereza) Jeffrey Sachs(USA political analyst) na Jin Ping wakisema kuwa Dunia isisahau chanzo kikuu ni unyang'anyi wa ardhi was Israel na kuiwekea kibano Cha maji,anga na mipaka Gaza na kutoitambua Palestine kama taifa huru na kisipotatuliwa kamwe Israel haiwezi kuwa na amani maana hata wapelestina wamenyimwa amani.

Huku Afrika mataifa ya Afrika magharibi mathalani Mali wanawataka UN wafungashe virago waondoke huku majirani zao wakiendelea na mkakati huohuo was kuwataka UN waondoke.

Je hili ndiyo anguko la UN na UN kuonekana ni chombo Cha kimataifa butu?!

Vyanzo; CGTN, BBC, ALJAZEERA.

Sina haja ya kuweka video tafuteni hayo majina Kesha mtapata walichosema.
Kuhusu UN naunga mkono hatua waliyoichukua Mali.

Tanzania tunachelewa sana kuwafurusha
 
Mkuu unajiliwaza!Hakuwa wa kumpiga myahudi,hapa leo wote munaimba nyimbo moja(palestina wanaonewa).siku za mwanzo hamas muliwaona mashujaa(walipoua watoto,wanawake na wazee)watu kama nyie hamuitaji huruma!
 
Mkuu unajiliwaza!Hakuwa wa kumpiga myahudi,hapa leo wote munaimba nyimbo moja(palestina wanaonewa).siku za mwanzo hamas muliwaona mashujaa(walipoua watoto,wanawake na wazee)watu kama nyie hamuitaji huruma!
Fuatilia chanzo kwanini Hamas Ali react.
September kule jenin walowezi was kiyahudi walikua wakipiga raia wa occupied westbank risasi,IDF ilibomoa majumba na kuongeza eneo.
Hiyo ni September sasa jijibu mwenyewe nani mkorofi kati ya Hamas na Israel.
 
Fuatilia chanzo kwanini Hamas Ali react.
September kule jenin walowezi was kiyahudi walikua wakipiga raia wa occupied westbank risasi,IDF ilibomoa majumba na kuongeza eneo.
Hiyo ni September sasa jijibu mwenyewe nani mkorofi kati ya Hamas na Israel.
Hapa sawa wote wanapigana!Kule Ukraine wale supporters wa Urusi ndio haohao wa hamas nyie ni wanafiki.mimi nasapoti parestina people ila siyo hamas ni magaidi na supporters wao!
 
Mataifa gani hayo yanayounga HAMAS. ambayo yanafahamika ni IRAN, na mataifa mengine ya uarabuni. Lakini
Marekani - Israel
India - Israel
Ulaya yote - Israel

Afrika na baadhi ya Nchi duniani hatuna upande. Hata Tanzania haina upande.

Ndio maana UN hawawezi kuingia kwa sababu Sehemu kubwa haijachagua upande, na wanaosapoti Hamas ni waarabu wenzao tu. Kitu kingine Hamas kikundi na si nchi hivyo ni ngumu kuungwa mkono, pili tayari wamejulikana kama kikundi cha magaidi kutokana na kuteka watu nyara na kuuwa watu kwenye tamasha la mziki na maeneo mengine. Kumbuka Israel yeye kasema apigani na palestina bali anapigana na Hamas, ambao wameanzisha shambulizi
China , Russia wanasapoti Palestina usijifanye haujui
 
Kuelekea mzozo kati ya Gaza na Israel mataifa mengi ya Amerika Kusini,Afrika na Asia yanaungana na Hamas na kudai kuwa sera za USA ni onevu na kandamivu na baadhi ya mataifa yakitaka kusitisha mahusiano ya kidiplomasia na Israel.

Mathalan Gustavo Petro rais wa Colombia amemtaka balozi wa Israel aondoke Colombia na akidai kuwa Israel inachokifanya dhidi ya Palestina ni sawa na utawala wa Nazi Germany.

Big names zingine kama Clare Short (waziri Wa maendeleo ya kimataifa wa zamani wa Uingereza) Jeffrey Sachs(USA political analyst) na Jin Ping wakisema kuwa Dunia isisahau chanzo kikuu ni unyang'anyi wa ardhi was Israel na kuiwekea kibano Cha maji,anga na mipaka Gaza na kutoitambua Palestine kama taifa huru na kisipotatuliwa kamwe Israel haiwezi kuwa na amani maana hata wapelestina wamenyimwa amani.

Huku Afrika mataifa ya Afrika magharibi mathalani Mali wanawataka UN wafungashe virago waondoke huku majirani zao wakiendelea na mkakati huohuo was kuwataka UN waondoke.

Je hili ndiyo anguko la UN na UN kuonekana ni chombo Cha kimataifa butu?!

Vyanzo; CGTN, BBC, ALJAZEERA.

Sina haja ya kuweka video tafuteni hayo majina Kesha mtapata walichosema.

Imekaa vizuri. Israel Haiwezi kudai hakinya kujilinda kwenye ardhi ya wizi.

Samia kimya. Na wale wengine kimya. Heko Zitto kwa kuwatolea uvivu majahudi yale.

Haki ya mtu lazima iheshimiwe.
 
Vita haina ma ho, kwanza israel na palestina (waarabu) hao wote ni makatiri, palestina kaua raia wasio na hatia, na muisrael na anaua ovyo ovyo bila kuangalia raia ...

Kwa hyo hupaswi kutetea yoyote yule, wote makatiri... Na wote chanzo ya wifo vingi huko mashariki ya kati
Nashangaa mwafrika anapata wapi guts za ku-side upande wowote wa mizozo hii ya kikatiri
 
Imekaa vizuri. Israel Haiwezi kudai hakinya kujilinda kwenye ardhi ya wizi.
Kwahiyo kuna binadamu ana haki ya kupiga na mwingine hanahaki ya kujilinda ; mimi na usukuma wangu sina misuli ya ku-side popote
 
Kwahiyo kuna binadamu ana haki ya kupiga na mwingine hanahaki ya kujilinda ; mimi na usukuma wangu sina misuli ya ku-side popote
Kama wako huo wauita usukuma itakuwa ndiyo shida mkuu:

IMG_20231015_072729.jpg


Mwizi wa ardhi ya mwizi anadai vipi haki yake ya kujilinda kwenye ardhi ya wizi?
 
Back
Top Bottom