Chanzo cha hamasi kuvamia Israel mara kwa mara unakujua lakini,huwez kumlaum mtu anayepigania haki yake baana ya kuporwaVita haina ma ho, kwanza israel na palestina (waarabu) hao wote ni makatiri, palestina kaua raia wasio na hatia, na muisrael na anaua ovyo ovyo bila kuangalia raia ...
Kwa hyo hupaswi kutetea yoyote yule, wote makatiri... Na wote chanzo ya wifo vingi huko mashariki ya kati
Pia Wacha nikuongezee maarifa.Acha kutetea upumbavu wanajilindaje na kujitetea dhidi ya IDF kwa kumiminia watu walioko kwenye tamasha la mziki risasi na kisha wengine kuwateka nyara... hivi unafahamu kweli jinsi ya kujitetea? Magaidi wowote lengo lao kuu linaanza kwa kuwauwa raia, ili kutuma taarifa kwenye mamlaka ndivyo alivyokuwa anafanya Osama... Wanasajili chama cha siasa au kampuni kumbe ndani yake ni ugaidi
Hao watoto unaowazungumzia waliokamatwa na IDF ni magaidi vile vile.... Mtoto wa kiongozi wa kundi la Hamas alielezea jinsi hao magaidi wanavyochukua watoto wa miaka 5 na kuwafanya magaidi na kuwafundisha silaha huko misikitini na kuwapandikiza chuki. Tizama hapo, unatetea ugaidi wakati hata mtoto wa Boss wa hamas kasema Hamas ni magaiduKABLA HUJAONGEA HUO UJINGA WAKO ULITAKIWA UJIULIZE JE ISRAEL ISINGEVUNJA NYUMBA JENIN NA KUCHAFUA MAJI WA PALESTINA JE HAYA YANGETOKEA,
WATOTO WADOGO MIAKA 5 MPAKA 7 HUKO WEST BANK WAMEKAMATWA NA IDF NA KUWEKWA JELA,WAYAHUDI WALIOJENGEWA NYUMBA KARIBU NA JENIN WAMEKUA WAKIPIGA WAPALESTINA RISASI.
UTAKUA FALA KIASI GANI KUTETEA ISRAEL PASI NA KUTIZAMA KUWA WAO WALIANZA
Pole sana .Wewe ndio uelewi maana ya Political organization mdogo wangu... Political organization sio Military Organization... Uwezi ukawa na political organization alafu ukamiliki risasi na makombora... Neno political lenyewe linabeba neno mashauriano, lengo kuu la politics ni sera za kuongea, kama ni political organization walitakiwa watumie majukwa ya kisiasa na si kumwaga damu...
Sio jukumu langu kuitambua Palestina, ni jukumu la U.N na U.N inaitambua Palestina na ndio maana wana rais wao. Huko west bank
UNAZUNGUKA PALEPALE.Hao watoto unaowazungumzia waliokamatwa na IDF ni magaidi vile vile.... Mtoto wa kiongozi wa kundi la Hamas alielezea jinsi hao magaidi wanavyochukua watoto wa miaka 5 na kuwafanya magaidi na kuwafundisha silaha huko misikitini na kuwapandikiza chuki. Tizama hapo, unatetea ugaidi wakati hata mtoto wa Boss wa hamas kasema Hamas ni magaidu
View: https://youtu.be/pLdjJXtwSzA
Wewe ndio hujui chochote... Tangu Israel anapewa ardhi yao, wapalestina na waarabu hawakukubali muisrael arudi Palestina. Ndio maana baada tu ya Israel kupata uhuru waarabu wote waliungana na kumvamia kijeshi Israel aondoke lakini walipokea kichapo kitakatifu... Nenda katafute Israel-arab war of 1948...Pia Wacha nikuongezee maarifa.
MWAKA 1947 PALESTINA IKIWA CHINI YA UINGEREZA ILIGEWA SHARTI YA KUPEWA UHURU KWA KUMKUBALI ISRAEL NA KUMMEGEA ARDHI NA KUITAMBUA ISRAEL KAMA TAIFA.
PALESTINA IKAFANYA HIVYO ILA EU NA USA ILIKATAA KUITAMBUA PALESTINA KAMA TAIFA HURU.
GAZA IKAWEKEWA UKUTA IKANYIMWA HAKI YA KUMILIKI UWANJA WA NDEGE HAKI YA KUMILIKI MPAKA WA MAJI NA HAKI YA KUMILIKI MPAKA WA ARDHI.
KATAFUTE RAMANI YA PALESTINA NA ISRAEL YA 1947,1948,1967 NA 2006.
NDIO URUDI HAPA TUBISHANE USINIJIE UKIWA NA ELIMU FINYU
Unamjua huyu vizuri? Soma historia yake ni spy wa israel kutoka shin bet na baada ya kushtukiwa akakimbilia marekani hadi sasa anaishi marekani, alipandikizwa na mossad ndani ya hamas kitabu chake ndio kinaitwa son of hamasHao watoto unaowazungumzia waliokamatwa na IDF ni magaidi vile vile.... Mtoto wa kiongozi wa kundi la Hamas alielezea jinsi hao magaidi wanavyochukua watoto wa miaka 5 na kuwafanya magaidi na kuwafundisha silaha huko misikitini na kuwapandikiza chuki. Tizama hapo, unatetea ugaidi wakati hata mtoto wa Boss wa hamas kasema Hamas ni magaidu
View: https://youtu.be/pLdjJXtwSzA
Dogo acha kamba bwana... HISTORIA iko wazi... Siku moja baada ya Israel kupata uhuru alivamiwa na Nchi za uarabuni wakataka wamuondoe, lakini wakapokea kichapo... Na kisha Israeli akachukua eneo la Sinai, ila badae alirudisha eneo hiloUNAZUNGUKA PALEPALE.
WACHA NIKUONGEZE ELIMU.
KIPINDI PALESTINA INAONGOZWA NA PLO ILI KUTAKA PALESTINA ITAMBULIKE KAMA TAIFA HURU ISRAEL ILIA ZISHA VITA SYRIA,EGYPT,LEBANON NA JORDAN NA KUTEKA MAENEO TOFAUTI TOFAUTI.
UNA UELEWA FINYU KATIKA HILI JAMBO
Unamezeshwa vita unakuja kuzijadili hapa .Wewe ndio hujui chochote... Tangu Israel anapewa ardhi yao, wapalestina na waarabu hawakukubali muisrael arudi Palestina. Ndio maana baada tu ya Israel kupata uhuru waarabu wote waliungana na kumvamia kijeshi Israel aondoke lakini walipokea kichapo kitakatifu... Nenda katafute Israel-arab war of 1948...
Mpalestina hajawai kukubali Israeli akae pale tangu kipindi cha Adolf Hitler
Kwanza kihistoria na kiasili hilo ni eneo la wayahudi... Waarabu ndio wavamizi, wamevamia mpaka Afrika ambayo kiasili sio eneo lao, hiyo Africa kaskazini yote ni eneo la waafrika ila waarabu waliiba Maeneo hayoUNAZUNGUKA PALEPALE.
WACHA NIKUONGEZE ELIMU.
KIPINDI PALESTINA INAONGOZWA NA PLO ILI KUTAKA PALESTINA ITAMBULIKE KAMA TAIFA HURU ISRAEL ILIA ZISHA VITA SYRIA,EGYPT,LEBANON NA JORDAN NA KUTEKA MAENEO TOFAUTI TOFAUTI.
UNA UELEWA FINYU KATIKA HILI JAMBO
Mimi na ww nani dogo.Dogo acha kamba bwana... HISTORIA iko wazi... Siku moja baada ya Israel kupata uhuru alivamiwa na Nchi za uarabuni wakataka wamuondoe, lakini wakapokea kichapo... Na kisha Israeli akachukua eneo la Sinai, ila badae alirudisha eneo hilo
Tuweke rekodi sawa, dunia inaungana na Wapalestina siyo Hamas.Kuelekea mzozo kati ya Gaza na Israel mataifa mengi ya Amerika Kusini,Afrika na Asia yanaungana na Hamas na kudai kuwa sera za USA ni onevu na kandamivu na baadhi ya mataifa yakitaka kusitisha mahusiano ya kidiplomasia na Israel.
Mathalan Gustavo Petro rais wa Colombia amemtaka balozi wa Israel aondoke Colombia na akidai kuwa Israel inachokifanya dhidi ya Palestina ni sawa na utawala wa Nazi Germany.
Big names zingine kama Clare Short (waziri Wa maendeleo ya kimataifa wa zamani wa Uingereza) Jeffrey Sachs(USA political analyst) na Jin Ping wakisema kuwa Dunia isisahau chanzo kikuu ni unyang'anyi wa ardhi was Israel na kuiwekea kibano Cha maji,anga na mipaka Gaza na kutoitambua Palestine kama taifa huru na kisipotatuliwa kamwe Israel haiwezi kuwa na amani maana hata wapelestina wamenyimwa amani.
Huku Afrika mataifa ya Afrika magharibi mathalani Mali wanawataka UN wafungashe virago waondoke huku majirani zao wakiendelea na mkakati huohuo was kuwataka UN waondoke.
Je hili ndiyo anguko la UN na UN kuonekana ni chombo Cha kimataifa butu?!
Vyanzo; CGTN, BBC, ALJAZEERA.
Sina haja ya kuweka video tafuteni hayo majina Kesha mtapata walichosema.
UGIRIKI ILIVAMIWA NA OTTOMAN EMPIRE(TURKIYE) IKAPORWA BURSA,IZNIK NA CONSTANTINOPLE(ISTANBUL)Kwanza kihistoria na kiasili hilo ni eneo la wayahudi... Waarabu ndio wavamizi, wamevamia mpaka Afrika ambayo kiasili sio eneo lao, hiyo Africa kaskazini yote ni eneo la waafrika ila waarabu waliiba Maeneo hayo
Hamas ni mbadala wa PLO inayotetea Hakim za wapalestina ndio maana nikaweka Hamas directlyTuweke rekodi sawa, dunia inaungana na Wapalestina siyo Hamas.
Hamas ni wanamgambo wachache tu.
Pia kawasome waphilistiKwanza kihistoria na kiasili hilo ni eneo la wayahudi... Waarabu ndio wavamizi, wamevamia mpaka Afrika ambayo kiasili sio eneo lao, hiyo Africa kaskazini yote ni eneo la waafrika ila waarabu waliiba Maeneo hayo
Hivy9 ni vyama tu kama ilivyo vyama vingine vya kisiasa.Hamas ni mbadala wa PLO inayotetea Hakim za wapalestina ndio maana nikaweka Hamas directly
Niongezee kitu hapa.Kuelekea mzozo kati ya Gaza na Israel mataifa mengi ya Amerika Kusini,Afrika na Asia yanaungana na Hamas na kudai kuwa sera za USA ni onevu na kandamivu na baadhi ya mataifa yakitaka kusitisha mahusiano ya kidiplomasia na Israel.
Mathalan Gustavo Petro rais wa Colombia amemtaka balozi wa Israel aondoke Colombia na akidai kuwa Israel inachokifanya dhidi ya Palestina ni sawa na utawala wa Nazi Germany.
Big names zingine kama Clare Short (waziri Wa maendeleo ya kimataifa wa zamani wa Uingereza) Jeffrey Sachs(USA political analyst) na Jin Ping wakisema kuwa Dunia isisahau chanzo kikuu ni unyang'anyi wa ardhi was Israel na kuiwekea kibano Cha maji,anga na mipaka Gaza na kutoitambua Palestine kama taifa huru na kisipotatuliwa kamwe Israel haiwezi kuwa na amani maana hata wapelestina wamenyimwa amani.
Huku Afrika mataifa ya Afrika magharibi mathalani Mali wanawataka UN wafungashe virago waondoke huku majirani zao wakiendelea na mkakati huohuo was kuwataka UN waondoke.
Je hili ndiyo anguko la UN na UN kuonekana ni chombo Cha kimataifa butu?!
Vyanzo; CGTN, BBC, ALJAZEERA.
Sina haja ya kuweka video tafuteni hayo majina Kesha mtapata walichosema.
Uuna sababu ya kupiga kelele. Andika tu kwa herufi ndogo, utaeleweka.Niongezee kitu hapa.
Watu wanaleta justification ya Israel kuitawala kimabavu palestina wakisema kiasili ardhi ya wayahudi.
DUNIANI KUNA MATAIFA MAKUBWA YAMEUNDWA JUU YA MATAIFA YA WENZAO.
KAISOMENI INDIGENOUS ORIGIN YA AUSTRALIA NI YA WATU WEUSI.
WAZUNGU WAKAVAMIA NA JUZI BUNGENI WAMEKATAA HAKI YA WAZAWA WA AUSTRALIA KUWA NA SAUTI BUNGENI.
Kuandika kwa herufi kubwa kwangu nachukulia kama kutilia mkazo jambo ama msisitizo dadaangu mnisamehe msikerekweUuna sababu ya kupiga kelele. Andika tu kwa herufi ndogo, utaeleweka.