Kweli mkuuu ile ladha ya muziki hamna kabisa, leo hii unakuta nyimbo unasikiliza mpya siku moja huna hamu nayo tena???? Muda mwingine linabadirika wazo na kutafuta kitu cha '' naughty by nature feel me flow "" "angalau uburudike aiseee
Post sent using JamiiForums mobile app