Dunia yakumbwa na upungufu wa mziki mzur hasa wa rap

Dunia yakumbwa na upungufu wa mziki mzur hasa wa rap

Kweli mkuuu ile ladha ya muziki hamna kabisa, leo hii unakuta nyimbo unasikiliza mpya siku moja huna hamu nayo tena???? Muda mwingine linabadirika wazo na kutafuta kitu cha '' naughty by nature feel me flow "" "angalau uburudike aiseee

Post sent using JamiiForums mobile app
Siku hiz wanaimbaga ujinga mkuu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom