#COVID19 Dunia yashtuka msimamo wa Hayati Magufuli kuhusu COVID-19

Kama stend ya mbezi,sgr, daraja la busisi nk.
Kutengeneza miundombinu in expense of human blood ni kitu ambacho ni non-sense.Ni sawa na ubadilishe watu wawe misukule kisha uanze kuwatumia kutengeneza miundommbinu.Non-sense!!
 
Kutengeneza miundombinu in expense of human blood ni kitu ambacho ni non-sense.Ni sawa na ubadilishe watu wawe misukule kisha uanze kuwatumia kutengeneza miundommbinu.Non-sense!!
Hivi unakijua ulichokijibu...kwahy essay yako ya point kurudia rudia ndo ina make sense...
kama we unajifanya activist mzuri lazima utuoneshe both side of tha same coin(mazuri na mabaya) and if not bas n mihemko nd inakufanya uwe hvyo plus stress zinazotafuna ubongo wako... Unaweza ukaweka ushahid wa kutekwa kwa hao watu..
 
Una akili timamu?Suala la akina Ben saaanane kuuawa,akina Tundulissu kupigwa risasi mchana kweupe,wapinzani kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi nchi nzima na kadhalika linahitaji ushahidi?Yaani suala la watu mpaka kukimbia nchi kwenda exile linahitaji ushahidi?
 
Kwenye suala la covid alikuwa sahihi kabisa

Ova
Alikuwa sahihi kwa tafiti gani alifanya akajua kuwa Corona haitakuwa na madhara Tanzania?Hoja yangu ya msingi ni kwamba Magufuli kwenye suala la Corona alibeti rohoo zetu na Rais kama huyo hafai.

Swali langu la msingi:Kama Magufuli hakubeti roho zetu katika ishu ya Corona ni kwa kivipi mbinu aliyoitumia kuzuia Corona Tanzania ingetuvusha salama kama ingetokea Corona ingezipiga nchi za Afrika Kama ilivyozipiga nchi za Asia,Ulaya na Marekani?
 
Kuhusu Corona, huyu mwamba ameidhihirishia dunia kwamba wapo wanaosoma SAYANSI na wapo waliokwenda shule kukariri vitabu vya SAYANSI, Magufuli kwenye issue ya Corona was extra miles after most of the scientists including WHO, nahisi WHO walikariri kilichofanywa na China once ugonjwa umetokea nchini kwao and then WHO bila hata kutafiti wakatangaza njia zilizotumiwa na China kua ndio standard ya dunia, Magufuli akasema No na his No ime prove kabisa kwamba HIS NO was absolutely right to/for Corona
 
Mtu kama wewe, si ajabu ni mmoja ya watu wanaopigania kuwepo Demokrasia, ila hutaki wengine wawasilishe mawazo yao, sababu tu wewe yanakukera.
Bado tunasafari ndefu.

Wapuuzi hao wapo kwa kazi maalumu ya legasi ,nape kashasema legasi haitetewi....Kama wanampenda sana wakaanzishe magroup ya wasapu wamsifie ,humu tunahitaji mijadala ya maana na si mapambio na propaganda.
 
Hakika JPM alituokoa na mateso ya KORONA kiuchumi na kijamii. Sasa wakati Mh Rais Samia akiwa ameunda kamati kumshauri kuhusu ugonjwa wa KORONA ni muhimu kamati hii ikazingatia ukweli huu.
 
Hadi sasa chanjo za korona zipo kwenye majaribio hivyo anayepinga na kukubali wote si kwamba wanakosea au wanapatia!
 
Acheni longo longo MEKO kashavuta kazi iendelee bado tu mnaendeleza mapambio? Au mlilipwa in advance kwa mwaka mzima?
So hao mabeberu wanaofanya discussions za covid na kumtaja late presida John wanafanya hicho ulichosema?😬.

Kama upendi kusikia habari za Magufuli kwa nini ukiona uzi unaohusu yeye usipite kushoto comrade.!
 
Hadi sasa chanjo za korona zipo kwenye majaribio hivyo anayepinga na kukubali wote si kwamba wanakosea au wanapatia!
Unapigwa chanjo ambayo ipo kwenye majaribio ,usiwe test lab za wazungu
 
So hao mabeberu wanaofanya discussions za covid na kumtaja late presida John wanafanya hicho ulichosema?😬.

Kama upendi kusikia habari za Magufuli kwa nini ukiona uzi unaohusu yeye usipite kushoto comrade.!

Wekeni habari za kujenga sio za mapambio na propaganda sizizo na tija.
 
Kwa kweli tunamkumbuka sana Magufuli!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…