Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Sio tu Tanzania Duniani kote huwa kikifika kipindi cha uchaguzi wanasiasa wanatafuta ukaribu sana na wasanii na viongozi wa kidini maana ni makundi yenye ushawishi kwenye Jamii.
Wafanyabishara huwa wanatumika kama Donors ku sponsor kampeni za kisiasa kuongeza nguvu ya fedha , matajiri huwa wanafanya betting wanafanya mahesabu makubwa kabla ya kumchagua mgombea au chama cha kuki support kwa malengo mbele ya safari iwe rahisi kutengenezewa njia ya mazingira rahisi ya kufanya biashara mgombea au chama akishika /kikishika usukani wa uongozi.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Siasa huwa zinaendeshwa kwa mahesabu makali kila maamuzi yanayochukuliwa watu wanafanya calculations za kutosha hawakurupuki
Wafanyabishara huwa wanatumika kama Donors ku sponsor kampeni za kisiasa kuongeza nguvu ya fedha , matajiri huwa wanafanya betting wanafanya mahesabu makubwa kabla ya kumchagua mgombea au chama cha kuki support kwa malengo mbele ya safari iwe rahisi kutengenezewa njia ya mazingira rahisi ya kufanya biashara mgombea au chama akishika /kikishika usukani wa uongozi.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Siasa huwa zinaendeshwa kwa mahesabu makali kila maamuzi yanayochukuliwa watu wanafanya calculations za kutosha hawakurupuki