Ibun Sirin
Member
- May 20, 2022
- 50
- 106
Huwezi kuona kwa macho vidudu vingi tu kama vya malaria, typhoid, amoeba, nk mpaka vipimo! lakini dalili za malaria na typhoid zipo na unaweza kuzigundua tu na kisha ukajiridhisha kwa vipimo na kuanza tiba.
Mikosi na nuksi dalili zake ni:
-Kuchukiwa na watu wengi bila sababu
-Kupanga kazi na watu kisha watu wakakususia na kukutenga
-Kuanzisha shughuli zako kwa makini na ukaharibikiwa bila sababu inayoonekana wazi
-Ndoa kuharibika au uchumba bila sababu
-Kila jambo unalopanga na kufanya halikui wala kuwa na tija japo kuna bidii
-Kazini au kwenye biashara unaonekana hufai kabisa hata kama una juhudi
Chanzo cha mikosi na nuksi
-Kurogwa
-Kukumbwa na majini au viumbe wabaya
-Kuwa na jamaa wenye husuda mbaya kwako
-Kufanya madhambi kila mara kama zinaa, ushirikina, ulevi na mengine machafu
-Kutosaidia wenye shida kama masikini, mayatima na wajane kiasi kwamba wakikulilia shida unawakejeli,
-Kutenga ndugu zako wa damu kiasi kwamba unawaona si chochote na unawadhihaki
-Kutofurahia maendeleo na mafanikio ya watu wengine
-Kutokufanya ibada, kuwa mvivu kwenye maswala ya kheri
-Tabia ya kuokota vitu vilivyotupwa njiani kama pesa n.k
Ibun Sirin
Kazi yangu ni kukupa muongozo ili kujikwamua kutoka kwenye nyavu hizo, uwe huru kama watu wengine.
Mikosi na nuksi dalili zake ni:
-Kuchukiwa na watu wengi bila sababu
-Kupanga kazi na watu kisha watu wakakususia na kukutenga
-Kuanzisha shughuli zako kwa makini na ukaharibikiwa bila sababu inayoonekana wazi
-Ndoa kuharibika au uchumba bila sababu
-Kila jambo unalopanga na kufanya halikui wala kuwa na tija japo kuna bidii
-Kazini au kwenye biashara unaonekana hufai kabisa hata kama una juhudi
Chanzo cha mikosi na nuksi
-Kurogwa
-Kukumbwa na majini au viumbe wabaya
-Kuwa na jamaa wenye husuda mbaya kwako
-Kufanya madhambi kila mara kama zinaa, ushirikina, ulevi na mengine machafu
-Kutosaidia wenye shida kama masikini, mayatima na wajane kiasi kwamba wakikulilia shida unawakejeli,
-Kutenga ndugu zako wa damu kiasi kwamba unawaona si chochote na unawadhihaki
-Kutofurahia maendeleo na mafanikio ya watu wengine
-Kutokufanya ibada, kuwa mvivu kwenye maswala ya kheri
-Tabia ya kuokota vitu vilivyotupwa njiani kama pesa n.k
Ibun Sirin
Kazi yangu ni kukupa muongozo ili kujikwamua kutoka kwenye nyavu hizo, uwe huru kama watu wengine.