TzPride JF-Expert Member Joined Nov 2, 2006 Posts 2,616 Reaction score 1,169 Dec 30, 2010 #21 Fidel80 said: Maziwa ya mama ni kwa ajili ya mtoto tu mibaba ya siku hizi bana utaona la yenyewe linanyonya chakula cha mtoto ndo maana watoto wana utapia mlo lol. Click to expand... Yeah sure, bora libaba lizame chumvini.
Fidel80 said: Maziwa ya mama ni kwa ajili ya mtoto tu mibaba ya siku hizi bana utaona la yenyewe linanyonya chakula cha mtoto ndo maana watoto wana utapia mlo lol. Click to expand... Yeah sure, bora libaba lizame chumvini.
St. Paka Mweusi JF-Expert Member Joined Sep 3, 2010 Posts 7,956 Reaction score 5,149 Dec 30, 2010 #22 Fidel80 said: Mkuu bado unanyonya chakula cha watoto? Click to expand... Na sitegemei kuacha.
TUKUTUKU JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 11,763 Reaction score 4,041 Dec 30, 2010 #23 Duh!hii inaonyesha uhalisia mambo kabisa!!!
Good Guy JF-Expert Member Joined Oct 24, 2010 Posts 3,815 Reaction score 1,424 Dec 30, 2010 #24 DaMie said: Wakubwa :flame:Nitaungua bure Click to expand... why is it that hot?
GodfreyTajiri JF-Expert Member Joined Sep 26, 2010 Posts 1,001 Reaction score 704 Dec 30, 2010 #25 huyo bebi toto tundu.umri huo keshaanza mlilia mtoto mwenzake!kwani kanaonekana kadume halafu huyo mwenzake ni kabinti.
huyo bebi toto tundu.umri huo keshaanza mlilia mtoto mwenzake!kwani kanaonekana kadume halafu huyo mwenzake ni kabinti.
Amoeba JF-Expert Member Joined Aug 20, 2009 Posts 3,288 Reaction score 791 Dec 31, 2010 #26 Hiyo ya chini wahaaaha haaa haaaa! lolest, mzee mzima ameshtukia anaibiwa-kumfunua maiwaifu wake anakuta kijamaa kinamdisa! mwa haha haaa haaaa teh tehe teh!:whoo:
Hiyo ya chini wahaaaha haaa haaaa! lolest, mzee mzima ameshtukia anaibiwa-kumfunua maiwaifu wake anakuta kijamaa kinamdisa! mwa haha haaa haaaa teh tehe teh!:whoo: