Duniani kuna mambo.

Duniani kuna mambo.

Maziwa ya mama ni kwa ajili ya mtoto tu mibaba ya siku hizi bana utaona la yenyewe linanyonya chakula cha mtoto ndo maana watoto wana utapia mlo lol.

Yeah sure, bora libaba lizame chumvini.
 
huyo bebi toto tundu.umri huo keshaanza mlilia mtoto mwenzake!kwani kanaonekana kadume halafu huyo mwenzake ni kabinti.
 
Hiyo ya chini wahaaaha haaa haaaa! lolest, mzee mzima ameshtukia anaibiwa-kumfunua maiwaifu wake anakuta kijamaa kinamdisa! mwa haha haaa haaaa teh tehe teh!:whoo:
 
Back
Top Bottom