Duniani kuna mambo.

Duniani kuna mambo.

hahaha aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimezipenda umezitoa wapi bana
 
Naona mtoto analilia vikubwa/makubwa, itabidi mama akafanye ile wanaita sijui plastic suergery apate big nido ili amridhize mwanae
 
Huyu mtoto aje kwangu, nina hakika kilio chake kitaisha
 
ha ha ha ha huyo mtoto hajui ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi nini
 
Siyo huyo mtoto tu, hata mie nataka hayo hayo.....ni PM basi....

Maziwa ya mama ni kwa ajili ya mtoto tu mibaba ya siku hizi bana utaona la yenyewe linanyonya chakula cha mtoto ndo maana watoto wana utapia mlo lol.
 
Back
Top Bottom