Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mtu je😁 mzee wa brown sugarHayo ndo Mambo sasa😊
Wanajulikana kama single Father na si vinginevyo.Hamna neno singo father, anaitwa bachelor..........
HahahaMa single mother yanawivu Kwa ambao siyo masingle .
Single mother wabaki hivyo hivyo tu walahii😂😂😂 sina hamu nao kabisa..🤣🤣🤣🤣Wamekufanyaje sijui...
Nipe kisa nijifunzeSingle mother wabaki hivyo hivyo tu walahii😂😂😂 sina hamu nao kabisa..
Single mother wengi hawaoni hasara kuvunja mahusiono kama wamekuwa sugu.. ingawa wapo waliotuliaNipe kisa nijifunze
Ok sawaSingle mother wabaki hivyo hivyo tu walahii😂😂😂 sina hamu nao kabisa..
sema nina hamu na weweOk sawa
umepata huyo mtoto tayari kwaniSor,mi nilikuwa serious na mtoto
Hapana,naogopa kuzaa na vivuruge Kama wewe😭umepata huyo mtoto tayari kwani
Hapa for sure there is no kugegedaring 🤣🤣🤣🤣🤣Tatizo tunaowapenda Wana watu waoView attachment 3076097
mie sina ukivuruge wowote hisia zako.. nizalie uzao wangu wa kwanza..😂😂 nina upwiruHapana,naogopa kuzaa na vivuruge Kama wewe😭
KabisaaaSingle ya siku hizi sio kwamba zinamaana ile ya single. Sasa hivi watu wapo single ile ana ndondo kibao,so mechi anapiga kama kawa mda wowote autakao.
Hamna mtu ambaye yupo single kwa asilimia zote,kama wapo basi wachache sana.Hamjui tu siku hizi ngono imekuwa rahisi sana na hamna mistake kubwa iliyo fanywa na wanawake kama kuithaminisha ngono kwa fedha,kwani kila mwanamke ananunulika kwa style na kwa dau lake either direct au indirect, ila wapo wasio nunulika japo ni wachache mnoo na ngumu kuwapata.
Blaza, kwahiyo unasema kwenye mji au wilaya unayoishi Kuna watu Billion 8? Maana ukisema Kwa Dunia nzima watu Billion 8, sio kwamba wote wamelundikana Mkoa mmoja.. Wapo nchi tofauti, halafu ukiangalia hapo huna hata passport, Sasa unapataje access naoMa-Single Mother/Single Father
Duniani kuna watu wanaokadiriwa bilion 8+
Kwa idadi hiyo ni serious umeshindwa kumshawishi mmoja tu akupende?
Aaaaaah alooo!