Hakika aliyewahi kusema Africa is dark continent hakukosea kabisa
Africa hii naiona bado iko gizani, huko barani Ulaya na America mashabiki wameruhusiwa kuingia viwanjani pia mechi zote za kombe la dunia mashabiki waliruhusiwa;
Africa sasa ndio wamezinduka kwa kupiga ban mashabiki katika mashindano ya kimataifa ya vilabu na timu za taifa.
Hii ni wazi sasa sisi waafrika tunatatizo, we are lagging behind instead of going forward!
Africa hii naiona bado iko gizani, huko barani Ulaya na America mashabiki wameruhusiwa kuingia viwanjani pia mechi zote za kombe la dunia mashabiki waliruhusiwa;
Africa sasa ndio wamezinduka kwa kupiga ban mashabiki katika mashindano ya kimataifa ya vilabu na timu za taifa.
Hii ni wazi sasa sisi waafrika tunatatizo, we are lagging behind instead of going forward!