Duniani tunaota tu, sio Maisha halisi

Duniani tunaota tu, sio Maisha halisi

krystiano7

Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
94
Reaction score
132
Habarini wanajamvi!

Baada ya kupitia makala mbali mbali humu JF na kwengineko nakubaliana kabisa na dhana ya kwamba duniani tunaota tu.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba roho zetu zinaishi milele, hivyo basi ishu ya maisha iwe ni miaka 10 20 au hata 100 ni kama nukta tu kwenye kitu kinachosihi milele.

Nawasilisha
 
Habarini wanajamvi!

Baada ya kupitia makala mbali mbali humu JF na kwengineko nakubaliana kabisa na dhana ya kwamba duniani tunaota tu.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba roho zetu zinaishi milele, hivyo basi ishu ya maisha iwe ni miaka 10 20 au hata 100 ni kama nukta tu kwenye kitu kinachosihi milele.

Nawasilisha
Ukifa ndio unamkaa USINGIZINI......
 
Habarini wanajamvi!

Baada ya kupitia makala mbali mbali humu JF na kwengineko nakubaliana kabisa na dhana ya kwamba duniani tunaota tu.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba roho zetu zinaishi milele, hivyo basi ishu ya maisha iwe ni miaka 10 20 au hata 100 ni kama nukta tu kwenye kitu kinachosihi milele.

Nawasilisha


Kimahesabu maisha ya duniani ni finite na maisha ya akhera ni infinite:-

finite÷infinite=0, 0 maana yake ni kwamba maisha ya duniani ni mafupi mno ukilinganisha yale ya akhera.
 
Habarini wanajamvi!

Baada ya kupitia makala mbali mbali humu JF na kwengineko nakubaliana kabisa na dhana ya kwamba duniani tunaota tu.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba roho zetu zinaishi milele, hivyo basi ishu ya maisha iwe ni miaka 10 20 au hata 100 ni kama nukta tu kwenye kitu kinachosihi milele.

Nawasilisha
Unaota wewe
 
Habarini wanajamvi!

Baada ya kupitia makala mbali mbali humu JF na kwengineko nakubaliana kabisa na dhana ya kwamba duniani tunaota tu.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba roho zetu zinaishi milele, hivyo basi ishu ya maisha iwe ni miaka 10 20 au hata 100 ni kama nukta tu kwenye kitu kinachosihi milele.

Nawasilisha
Kwahiyo hayo maisha halisi yako wapi?

Unataka kusema msoto wa life tunaopitia sio uhalisia? wanawake miez 9 kuhangaika mimba, wanaosota gerezani, waliofilisika etc

Na furaha zetu kama kuchakata mbususu, kupata watoto, kufaulu mitihan, kununua mali etc

Vyote hivi ni ndoto?

Nakinzana na mada coz naamini unavuna unachokipanda in real time.. mfano ukifanya mazoez na proper diet utakua na mwili mzuri.. ukifanya kazi kwa bidii utafanikiwa, dem ukigawa hovyo utapata mimba, ukimwi au gono, kila kitu ni action na reaction!
 
Kwahiyo hayo maisha halisi yako wapi?

Unataka kusema msoto wa life tunaopitia sio uhalisia? wanawake miez 9 kuhangaika mimba, wanaosota gerezani, waliofilisika etc

Na furaha zetu kama kuchakata mbususu, kupata watoto, kufaulu mitihan, kununua mali etc

Vyote hivi ni ndoto?

Nakinzana na mada coz naamini unavuna unachokipanda in real time.. mfano ukifanya mazoez na proper diet utakua na mwili mzuri.. ukifanya kazi kwa bidii utafanikiwa, dem ukigawa hovyo utapata mimba, ukimwi au gono, kila kitu ni action na reaction!
Mkuu nakuelewa,ila msoto tunaopitia hata ungekua miaka 300 na mimba ya miaka minne bado tunapofananisha na ukweli kwamba roho zetu ni infinity bado kabisa unaona kwamba ni sawa na snapshot tu ya maisha yote kwa ujumla,sijui km unanielewa
 
Back
Top Bottom