Kweli kabisa,hili sakata la umeme lina nini nyuma ya pazia mkuuWala sio move master tunaishi maisha ya kwenye mifumo flan tuliyopangiwa na watu fulani, kidin. Elimu, kisiasa , kiuchumi, na hata kitamaduni
Bangi mbaya sanaHabarini wanajamvi!
Baada ya kupitia makala mbali mbali humu JF na kwengineko nakubaliana kabisa na dhana ya kwamba duniani tunaota tu.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba roho zetu zinaishi milele, hivyo basi ishu ya maisha iwe ni miaka 10 20 au hata 100 ni kama nukta tu kwenye kitu kinachosihi milele.
Nawasilisha
Tupia soft copy mkuu kama unayo.The power of NOW- Eckhart Tolle.
Bonge moja la kitabu Kwa wale wanaopenda kuelewa spiritual side of human being.
Google Mzee,ni kitabu free Kwa sasa hivi.Tupia soft copy mkuu kama unayo.
Tupia soft copy mkuu kama unayo.
Kitabu Bora kabisa maishani mwangu, unasoma elimu ya msingi ya kibinaadamu Sio mavitabu ya self help book,mara kitabu Cha kua tajiri. This is the primary bookTupia soft copy mkuu kama unayo.
Wacha nikipitieKitabu Bora kabisa maishani mwangu, unasoma elimu ya msingi ya kibinaadamu Sio mavitabu ya self help book,mara kitabu Cha kua tajiri. This is the primary book
🤣🤣 Brother huyu mtoa mada yupo sahihi sana. With time Kila mtu ataujua huu, ukweli mchungu. Hata wewe ipo siku utarealize kwamba haya maisha ya Dunia is pure pure illusion. Kuna watu wakiumwa sana,wakikaribia kufa,wakifilisika,wakipata majanga makubwa ya kimwili, challenge kama hizi ni muhimu sana kumfanya binaadamu kua awakened na conscious na katika kua awakened una realize kua haya maisha is just small part of what is inside us.Bangi mbaya sana
Bonge Moja la bookThe power of NOW- Eckhart Tolle.
Bonge moja la kitabu Kwa wale wanaopenda kuelewa spiritual side of human being.
Basi sawa🤣🤣 Brother huyu mtoa mada yupo sahihi sana. With time Kila mtu ataujua huu, ukweli mchungu. Hata wewe ipo siku utarealize kwamba haya maisha ya Dunia is pure pure illusion. Kuna watu wakiumwa sana,wakikaribia kufa,wakifilisika,wakipata majanga makubwa ya kimwili, challenge kama hizi ni muhimu sana kumfanya binaadamu kua awakened na conscious na katika kua awakened una realize kua haya maisha is just small part of what is inside us.