Duo cotexin fake zazagaa madukani

lyinga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2013
Posts
2,496
Reaction score
1,057
T.F.D.A mpo wapii? Chunguzeni Hizi dawa za maleria ambazo zinatumika sana duo cotexin zipo copy fake na mgonjwa akizitumia zinawasha vibaya mno wakati zile org haziwashi na ukiziangalia huwezi kuzitofautisha na zile org tofauti ipo kwenye exp date ya mwezi ndio tofauti wadau fuatilieni makabwela mtatuulia figo zetu dengue inatosha jamani.
 
duu! umenikuna. huwa nazitumia sana nikashangaa y safari hii zinaniwasha? nikaacha sikumaliza dozi kumbeeee
 
duu! umenikuna. huwa nazitumia sana nikashangaa y safari hii zinaniwasha? nikaacha sikumaliza dozi kumbeeee

Jamaa wamezichakachua zipo nyingi sana ndugu na kwa vile zina soko sama watu wasiokuwa na roho ya utu ndo hivyo tena wanatuuwa taratiibu.
 
Reactions: awp
Aisee kila kitu kuchakachua tu mmmxxyouuu zao !!!
 
wahindi au wachina wamefanya huo mchezo, washenzi kabisa, pu.....vu zao!
 
Da msala manaa ndio dawa yangu kubwa. tunafushukuru
 


Hawana time na masikini, si wajua wao na familia zao hupata matibabu ughaibuni tu, Ee Mungu wanusuru watanzania wanaangamia pasipo kuwa na hatia
 
wahindi au wachina wamefanya huo mchezo, washenzi kabisa, pu.....vu zao!

Ni wahindi mkuu alafu hazitofautian yan ila ndo wanatuua taratibu mi nilisha vimba uso sababu ya hizo dawa akati i never experienced it before
 
Indisputable material for JF Doctor! Please Active, do something!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…