DURBAN: Bakhresa(Azam) anashindana na wazungu sasa


check majority.. angalia wasomo tuliokuwa lakini ni masikini mpaka leo mkuu.. wasomo wengi wameishia wizi tu
 
check majority.. angalia wasomo tuliokuwa lakini ni masikini mpaka leo mkuu.. wasomo wengi wameishia wizi tu

kuna wengi mzee... check

mjomba elimu bora uleta mafanikio...atleast husiwe mwizi na mwongo hayo ni mafanikio... hapo ndio tunashindana mafanikio sio pesa tu
 
check majority.. angalia wasomo tuliokuwa lakini ni masikini mpaka leo mkuu.. wasomo wengi wameishia wizi tu
Kwa taarifa yako wengi wenye mafanikio hawana hizo PHD jomba which means hakuna uhusiano. Mfano magenius wanaorusha vyombo mwezini NASA ni PhD holders lakini tajiri wa kwanza duniani ni bilget
 
Anajitahidi sana bidhaa zake zipo katika ubora wa hali ya juu.
 
Kuwa mjasiriamali ni kipaji pia, kama unavyomwona Ronaldo uwanjani, usishangae PhD anategemea mshahara tu
 
Hii habari ina mahusiano gani na Magu kiongozi!
 
Wasema hajasoma,wengine hatuna uhakika, ila kama kweli basi hongera zake, ila nina uhakika 110% kaajiri wasomi na ndio wanamuongezea utajiri, kuanzia kutengeneza ashklimu, kuendesha boti, kutengeneza boti, kuendesha mitambo yake ya kusaga nafaka na kuzalisha maziwa, kujenga nyumba zake n.k. n.k.!

Siyo lazima usome uwe tajiri lakini lazima uwaajiri wasomi wakuzalishie mapeni...Kusoma bado muhimu...

Natumaini watu wasiache shule kwa kisingizio cha Bakheresa, namna yake wako wachache duniani, huwezi kuwaiga, huwezi kuwafananisha, ila waweza iga mbinu zao ila hakuna uhakika nawe utafanikiwa..
 
Hongera zake Mzee Bakhressa.
Wachangiaji humu inabidi watofautisha kati ya mafanikio ya kibiashara na mafanikio ya kielimu. Mfanyabiashara mkubwa kafanikiwa, hata msomi mwenye Phd nae kafanikiwa kwa upande wake.

Mafanikio ya watu si lazima yafanane. Kila mtu anafanikiwa kwa kutimiza malengo yake. Pesa ni matokeo tu. Pia Elimu, biashara na pesa zinategemeana. Mfanyabiashara hawezi kuimarisha biashara yake pasipo msaada wa wasomi, na Msomi anamtegemea mfanyabiashara kwa namna moja au nyingine.
 
Kupongezana kumewapumbaza.
Mwenzenu hahitaji mipongezi, anatenda kazi.
Kama vipi pongezi pelekeni feri.
 
Mleta mada anavyoongea as if yeye ndio mzee SSB

Well,wewe umefanya nini kinachokutofautisha na wasomi walalamishi?
 
Hii mada inanikumbusha mbali sana nikiwa form 2 enzi zile za debate ....na famous motion ikiwa EDUCATION IS BETTER THAN MONEY.....and vise versa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…