DURBAN: Bakhresa(Azam) anashindana na wazungu sasa

Mkuu kwenye suala la ajira, bakhresa ni kama mo tu, wanaajiri vibarua na kulipa malipo kiduchu. Ni unyonyaj na haina tofaut na mafisadi unaowasema.

Mwsho hakuna asyejua kuwa unaajiriwa ukiwa mvaaji wa baraghashia. Nadhani umenielewa.
Kama walivo Charles Hilary na Tido Muhando!
 



PhD
 
Azam, sawa hana elimu ila huyu mwingine mwambie aweke vyeti vyake mezani
 
Intelligence person hires intelligence people more than he is.Which means hao wasomi ni watumwa tu.Learn to have money and people who work hard for you View attachment 600388View attachment 600389View attachment 600390
 
So kwa maana hiyo wasomi wanakazi ya kutimiza ndoto za wafanyabiara.Hili ndo tatizo la elimu zetu.
 
Haaa mm sim-regard bakhressa kama mtanzania ingawa kazaliwa tz, mm namwona kama mwarabu, half waarabu wana ubaguzi flani hivi majeshi 1981
Walikubaguwa lini?kama hujuwi historia piga kimya waarabu wanahistoria kubwa sana na waafrika hasa(east afrika) walifanya biashara kwa kipindi kirefu na wazee wetu kabla hawajaja hao unaowatukuza leo
ni wazawa na wazalendo wa nchi hii na mifano halisi ya kuigwa na wajasilia mali wa kitanzania.
 
So kwa maana hiyo wasomi wanakazi ya kutimiza ndoto za wafanyabiara.Hili ndo tatizo la elimu zetu.
Elimu zetu kwa ujumla zinatoa mitaala itakayo kuwezesha kuajiriwa tu. Hata wanaojiita wamejiajiri lakini kiuhalisia wanafanya kazi za watu (mfano mkulima au mfugaji, bila wanunuzi wa mazao au mifugo hana ajira tena). Mfo mwingine utakuta wakili kwa kujitegemea. Huyu kwa haraka haraka utasema kajiajiri, lakini kiuhalisia kaajiriwa na wateja wake, kipato chake kinategemea wateja.
 
hapa hapa tanzania tongoza demu mmoja wa kiarabu, akikukubalia muwe wapenzi then fasta bila kumtaarifu nenda kachumbie/kapeleke posa kwenye familia yake ya kiarabu uone kama watakukubalia, haijalishi ww ni mwislamu na una decent job and a good place to stay. Fanya hiyo research forumyangu
 
Haaa mm sim-regard bakhressa kama mtanzania ingawa kazaliwa tz, mm namwona kama mwarabu, half waarabu wana ubaguzi flani hivi majeshi 1981
HUYU ANA AFADHALI KIDOGO KIUZALENDO UKILINGANISHA NA AKINA ROSTAM NA MO AMBAO MAKAO MAKUU YA BIASHARA ZAO YAPO NJE NA HATA HAWAWEKEZI SANA KATIKA SHUGHULI ZA KIJAMII HAPA NCHINI
 
Ni jambo zuri
.
Ni jambo zuri. Ila uelewe kuwa Wasomi ndio wanaomshauri na kutengeneza plans zake ya uzalishaji na masoko Africa. Usione mawazo hayo yake ni yake tu.
Pili Azam ana Grain Milling Tanzania mainland, Zanzibar, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Malawi, na Mozambique. Kwa hiyo hayo mapato yake haifaidishi Tanzania tu bali nchi zote hizo alizowekeza.
Tunachoweza kujikwamua Tz ni kuongeza ushindani, kuongeza uzalishaji, kilimo, bidii ya kazi na rasilimali watu wenye ujuzi, miundombinu, sera na ushawishi wa uwekezaji, na masoko.
 

kweli lakini kila kitu ni mwazilizhi, kumbuka alikaa mwenyewe kwanza akapata business idea, ikawa business opportunity mwisho ikawa biashara.. HILI TU KWA MTU ASIYENAELIMU YA DARASANI NAMPA 100. pia kujua kuwa naitaji wasomi na kuwapa ajila na pia kupeleka watoto wake canada kusoma NA WANAENDESHA biashara ya baba yao INAONYESHA AKILI TIMIRIFU. Wangapi mafisani walikuwa na mabillion wameishia kuongeza wake na watoto mateja?
 
Subiri nae muda si mrefu ataishi kama shetani, refer Manji.
 
kwako wewe kujiajiri nin??
 

NMC ndo imemtajirisha huyo msilete uongo wakujibaraguza hapa eti chumba kimoja ndo kimemtajirisha
 
Na wewe pia punguza upumbavu sawa!
 
NMC ndo imemtajirisha huyo msilete uongo wakujibaraguza hapa eti chumba kimoja ndo kimemtajirisha
Watu wengi ni wa miaka ya 90's hapa.. hakuna mtu akawa tajiri km SSB bila mkono wa serikali. Pale ilipo SSB ndo ilipokua NMC.. Na mjue kipindi cha Mwinyi ndo alipotokea ikafka kipnd ch Jk yeye ni miongoni ya wafanyabiashara walio fanya biashara nyingii sn. In 10 yrs ametengeneza pesa nyingiii sn. So me sioni km miujiza hapo. Kuhusu swala la ajira linaukweli ukiona majina ya John au Ema ujue una uwezo wa ziada yani kichwa ndo unajiriwa. Ila km post za kawaida tuu hata watu wa chini ndo unakuta Athuman wakumwaga.. Pili SSB anapata sana pesa zaid kwny television ving'amuzi. Hebu tuwe wakweli zile package za AZAM TV na malipo yake zinaendana? Yan ni utapeli mkuubwa ujanja ujanja tuu chanel nyng ni za ku sample tu nani anashida y kuangalia mampira local. Wametoa Tv 1 ilikua smts inaonyesha EPL. Ikafika mda unalipa pesa nyngi lakini huoni hata channel y mana kuangalia. Ndomana bora nlipie package ndogo kbs y dstv naona vingi kiliko huko Azam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…