During sex: What is your favorite song to hear?

hahahaaaa!!! hapo umeenda kwa style gani bujibuji?

qudadeki , utakuja uue mtoto wa watu hivi hivi!!
Excel, unadhani ni style gani inamfaa mwanamke ambaye ukiwa unam tantalize anakuambia "unanirambaramba kwani mi ndama, hebu nirare nikatwange mutama"
 
Last edited by a moderator:
Manombo matale genago mantola wema!
 
Excel, unadhani ni style gani inamfaa mwanamke ambaye ukiwa unam tantalize anakuambia "unanirambaramba kwani mi ndama, hebu nirare nikatwange mutama"

hahahaaa!!! hiyo mkuu nadhani.... dah! mbuzi kagoma haiwezekani.. njoo jukwaa la wakubwa bana tuongee!!

afu siku hizi wa hivyo hawapo kabisa!!
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata

Babu Asprin hakika nakumiss ujue, this time sitafanya makosa!!! Come PM aisee kwanza!!!
 
Last edited by a moderator:
Araajii aaraajiii ... au dubwisaa dubwisaa aawiilo longomba! Yaani raha tupu!
 
mie hoiii nkisikia wimbo wa spanish guitar!!!!
 
charty.. ashki yako hii hapa!! na-imagine tu kwa huu wimbo! lol!

please usipotee lakini!
 
Last edited by a moderator:
Araajii aaraajiii ... au dubwisaa dubwisaa aawiilo longomba! Yaani raha tupu!

mkuu huu wimbo umetoka mwaka 2011 kama sijakosea..!

kabla ya hapo ulikuwa unaendaje?

 
Last edited by a moderator:
charty.. ashki yako hii hapa!! na-imagine tu kwa huu wimbo! lol!

please usipotee lakini!

dah yaan Excel we ni noumer umenifanya nimkumbuke my ex ohhhhhh!in nigerian voicee hahah
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…