During sex: What is your favorite song to hear?

During sex: What is your favorite song to hear?

MUGAMBO WANARUKA NA KUKANYAGANA, ONA WAMESIMAMA , WANARUKA KINYAMAAAA
[video]www.youtube.com/watch?v=PHavKPiZByk[/video]
Huu wimbo unipandisha sana mizuka wakati wa kudinyana

hahahaaaa!!! hapo umeenda kwa style gani bujibuji?

qudadeki , utakuja uue mtoto wa watu hivi hivi!!
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata

kwi kwiiiiiiiiii
nilimis MMU
 
mkuu mbona huu wa drunk in love una beat kali sana na lina spidi kubwa mno..! unaendaje nalo aiseee!

au lile uno la biyonse ndo linadatisha?
yeah ni kama huo wa pat benatar, but maneno yake, yanahamasisha, tangu nlipoiona video ya beyonce maumbile yake, basi huwa unanifanya nipate mzuka zaidi.pia nachangamka. naacha kulalalala
 
yeah ni kama huo wa pat benatar, but maneno yake, yanahamasisha, tangu nlipoiona video ya beyonce maumbile yake, basi huwa unanifanya nipate mzuka zaidi.

na mpenzi wako nae haleti shida katika playlist yake?
 
na mpenzi wako nae haleti shida katika playlist yake?
haleti shida,
yeye kwa tabia ni mpenzi wa nyimbo za injili zaidi, but when it comes to love, she love what best for business.
 
haleti shida,
yeye kwa tabia ni mpenzi wa nyimbo za injili zaidi, but when it comes to love, she love what best for business.

hahahaaa!! mkuu angalia usije ukafungishwa ya mkeka bana! lol!

au una malengo nae?
 
wow! this sounds romantic Pendaneni! huyo jamaa yako yeye huwa hakuimbii baada ya hapo au kazi yake kuu ni kutembeza dushe tuu na kuondoka?
No way katika mapenzi kila mtu ana fani yake, mie yangu ni kumuimbia kwa huba na huwa nikiimba naimba na mwili mzima Excel, macho, mikono na kila kitu, na mpenzi wangu kuna kitu huwa hupenda kufanya kwangu hasa tumalizapo kutimiziana haja za mioyo yetu, mimi na yeye kila mtu ana fani yake kwa mwenziwe.
 
No way katika mapenzi kila mtu ana fani yake, mie yangu ni kumuimbia kwa huba na huwa nikiimba naimba na mwili mzima Excel, macho, mikono na kila kitu, na mpenzi wangu kuna kitu huwa hupenda kufanya kwangu hasa tumalizapo kutimiziana haja za mioyo yetu, mimi na yeye kila mtu ana fani yake kwa mwenziwe.

hahaaaa!!! nimekupenda buuuure pendaneni!

enhee, niibie siri, maximum round ngapi mamii?
 
Kwa kweli wakati nikiwa kunako juu ya uwanja wa sita kwa sita nikiitumikia papuchi mashallah ya my baby, huwa tunatumbuizwa na mashairi motomoto ya wimbo wa sitaki demu ulioimbwa na nguli la muziki, Juma Nature.
 
Bado nipo nipo_FA.
Starehe_Ferooz
Nimpende nani-Platinum
Bila hizo sipati nyege kabsa
 
hahahaaa!! mkuu angalia usije ukafungishwa ya mkeka bana! lol!

au una malengo nae?
ha ha ha, she is the one and only one, ambapo, kama mwaka huu ukikaa vizuri, nadhani nitaenda kujitambulisha wazazi wake, ili nimwoe kabisa. manake napenda kuwa na mke mwenye focus ya maisha, still naaangalia brain yake iko vipi.
 
ha ha ha, she is the one and only one, ambapo, kama mwaka huu ukikaa vizuri, nadhani nitaenda kujitambulisha wazazi wake, ili nimwoe kabisa. manake napenda kuwa na mke mwenye focus ya maisha, still naaangalia brain yake iko vipi.

good for you my friend..... as long as mmeshajipanga, oaneni tu muendeleze maisha...
 
hahahaaa!! mkuu angalia usije ukafungishwa ya mkeka bana! lol!

au una malengo nae?
ha ha ha ha, She is the one and the only one, ambapo kama mungu akibariki, i think nitamwoa before the end of this year.
 
napenda hapo vip? hapo sawa .hapo vip? hapo sawa hukunamuuliza ninaye mgegeda na lazima anijibu asipo jibu nauchomoa mgegedo
 
hahaaaa!!! nimekupenda buuuure pendaneni!

enhee, niibie siri, maximum round ngapi mamii?

Honestly Excel mioyo inapokuwa inahitajiana huwezi jua leo nitaenda round ngapi, au kesho ni ngapi, na kinachofanya mapenzi yanakuwa matamu zaidi ni utundu katika style tofauti, hapo inategemea utakwenda round ngapi, mapenzi ni kupeana kwa raha bila karaha na mapenzi sio kukomoana bali kufurahishana kubwa na la muhimu ni kuhakikisha mwenzio anatosheka, anaridhika na kujitahidi kumfanya mwenzio awe na hamu na wewe na kukuhitaji, kiasi kwamba hata akitongozwa huko nje haoni umuhimu wa kukusaliti sababu kila kitu anapata toka kwako, hakikisha unapokuwa (theater unampasua mgonjwa wako make sure una vifaa vyote vinavyohitajika katika huo operation).
 
Honestly Excel mioyo inapokuwa inahitajiana huwezi jua leo nitaenda round ngapi, au kesho ni ngapi, na kinachofanya mapenzi yanakuwa matamu zaidi ni utundu katika style tofauti, hapo inategemea utakwenda round ngapi, mapenzi ni kupeana kwa raha bila karaha na mapenzi sio kukomoana bali kufurahishana kubwa na la muhimu ni kuhakikisha mwenzio anatosheka, anaridhika na kujitahidi kumfanya mwenzio awe na hamu na wewe na kukuhitaji, kiasi kwamba hata akitongozwa huko nje haoni umuhimu wa kukusaliti sababu kila kitu anapata toka kwako, hakikisha unapokuwa (theater unampasua mgonjwa wako make sure una vifaa vyote vinavyohitajika katika huo operation).

aisee nimependa theory yako... bila shaka wewe ni mwenyeji wa mwambao huku Pendaneni! good for you!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom