During sex: What is your favorite song to hear?

During sex: What is your favorite song to hear?

Napenda kusikiliza wimbo wa kaka man, unaitwa raha ya match bao. teh teh teh
 
mi napenda rap anazopiga demu wakati tunafanya tendo.
 
Nobody knws wht im feelin inside, I find it so stupid so why shud I hide that I want to make love to you baby. . .
Mi mziki wowote bt i prefer "classical music"
Ila I hate tv iwe on during sex, nashindwa kuconcentrate kabisaa yani. . Tv inaniumbuaga acha tu.
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata

Haaahaaa...Hii kali. Unanyatanyata kufikia uzima wa milele, duuh
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata

Mkuu inatosha kwa leo! We ni mtata, eti "unatembea ukinyatanyata"!!! This is JF bana, where we dare to talk openly.
 
Mutotoo ukisema jf inaboa mi napiga weee kofi mbili....
hahahahahhahahaah!

Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
 
Mmmmh!!

when it comes to that point, i fail to choose the best rythm!

naishiaga tu kuweka nyimbo za anantara spa, una relax huku ukifanyiwa massage! taratiiiibu, shida kwishnei!

what about you? whats your favourite song during sex?

157013_599033913441993_119933518_n.jpg

Breatheless by shayward..!
 
Mmmmh!!

when it comes to that point, i fail to choose the best rythm!

naishiaga tu kuweka nyimbo za anantara spa, una relax huku ukifanyiwa massage! taratiiiibu, shida kwishnei!

what about you? whats your favourite song during sex?

157013_599033913441993_119933518_n.jpg

Nyie watoto wa kishua watoto wa dijital mna vituko sana!

Hiyo hela ya kununua Radio si afadhali nidundulize nikaongeze maksai mwingine niwe na uhakika wa kulima kwa ng'ombe?

Kibanda changu kinavuja wakati wa mvua mm na shemeji yenu tunalala timesimama lkn nyie mnanileea sred za nyimbo wakati wa sex?

Acheni utozi nyie!
 
Kimya kimya ndo mpango mzima...mziki miguno yenu tu
 
Nyie watoto wa kishua watoto wa dijital mna vituko sana!

Hiyo hela ya kununua Radio si afadhali nidundulize nikaongeze maksai mwingine niwe na uhakika wa kulima kwa ng'ombe?

Kibanda changu kinavuja wakati wa mvua mm na shemeji yenu tunalala timesimama lkn nyie mnanileea sred za nyimbo wakati wa sex?

Acheni utozi nyie!

unawaza kununua ng'ombe? mi nikadhani trector angalau!! yani mpaka karne hii unalala umesimama? ? ? eishhssh!
 
Nani kamwaga pombe yangu,na tema mate tuwachape hapo burudani kama mkesha vilee
 
Back
Top Bottom