Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaaa!! bila shaka wewe ni mzaramo!! kidding!
mkuu unaenda kwa mtindo gani wa kunyongea?
hahahha duh huwezi amini mm mtu wa Bara full Mtanganyika
hahahha duh huwezi amini mm mtu wa Bara full Mtanganyika
basiii sauwer
uzee mwisho chalinze... si unajua hiyo sheria na kanuni ya jiji eenh?
Tembea uonehahahaaa!!! hiyo mkuu nadhani.... dah! mbuzi kagoma haiwezekani.. njoo jukwaa la wakubwa bana tuongee!!
afu siku hizi wa hivyo hawapo kabisa!!
hata sijui apenda nini,ila mengine inabd uyaache yaendemfuate bana mkumbushie..!!! kwani wa sasa anapenda niini mamii?
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.
Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.
Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
hata sijui apenda nini,ila mengine inabd uyaache yaende
ukelele wa kimahaba toka kwa mama watoto wangu huwa unanikosha kabisa
Craig David ~unbelievable
List ya songs nazopenda sikiliza wakati wa ........ ni hizi.
1. Freak with me - Another level.
2. No one else comes close - Joe Thomas.
3. Last night - Azyet.
Duh nina nyingi hizi kwa leo zinatosha.