Hamna sauti na nyimbo nzuri kama ya mwanaume akipiga bao Hua nazimia
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.
Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.
Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
Hahahaha woooooiiii...umenivunja mbavu
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.
Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.
Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.
Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.
Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
Ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaa!!!:A S-omg: we mzee matata sana aisee...
najuta kunywa AsprinKwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.
Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.
Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
Sijui kwanini watu wengi wanakuwa wepesi kununa siku ya Jumatatu.Yaani nilikuwa nimenuna kidogo imenibidi nicheke sana loooo!
Sasa mama, kwa sie tunaopenda kugegeda godoro likiwa sakafuni kitanda kitatoaje mguno.aah, mie nyimbo ya nini jamani, hapo ni sauti ya kitanda kikilalamika na miguno ya wahusika ndio mpango mzima.....
najuta kunywa Asprin
Maumivu yakizidi???