During sex: What is your favorite song to hear?

Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata

Hahahaha woooooiiii...umenivunja mbavu
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata

Ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaa!!!:A S-omg: we mzee matata sana aisee...
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata


Yaani nilikuwa nimenuna kidogo imenibidi nicheke sana loooo!
 
Roggie Mila -pepe kalle! Yaani nikiweka hio track shemeji yenu anajua ameumia kie kie kie
 
aah, mie nyimbo ya nini jamani, hapo ni sauti ya kitanda kikilalamika na miguno ya wahusika ndio mpango mzima.....
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
najuta kunywa Asprin
 
Yaani nilikuwa nimenuna kidogo imenibidi nicheke sana loooo!
Sijui kwanini watu wengi wanakuwa wepesi kununa siku ya Jumatatu.
aah, mie nyimbo ya nini jamani, hapo ni sauti ya kitanda kikilalamika na miguno ya wahusika ndio mpango mzima.....
Sasa mama, kwa sie tunaopenda kugegeda godoro likiwa sakafuni kitanda kitatoaje mguno.

Afu kuna wengine wakiwa wanagegedwa full time wanaachia ushuz.i mtu akipita nje si atadhani ndani kuna mashindano ya kupuliza mavuvuzela??
 
Nyimbo? Za nini tena? Kweli huwa mnasikia kiimbwacho? Au mnafungulia miziki kukwepa kusikika?
 
nikikutana na kitu kipya napendaga sana hizi nyimbo, wimbo wa Rose muhando- utamu weeeeee, nimeonja utamu weee, pale kwenye mwemwere sasa, uwa najitahidi kwenda na biti. Halafu nikimaliza naweka naona kama maono kumbe " Ndivyo Ulivyo"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…