During sex: What is your favorite song to hear?

During sex: What is your favorite song to hear?

mi napenda sana starehe by Ferooz
 
Hahahahaaaa..... here comes ODM babu Asprin ...., thank you for making my day, nilikuwa nimeshatibuliwa asubuhiasubuhi na #Team KAPUYA and the rapers. Angalau sasa nimeondoa some stress...

Maisha mafupi mkuu. Vinuka mkojo wale watakuua kwa presha, wapotezee.

Kumbe leo jumatatu? Ngoja nimpelekee mkoloni makalio akayafanye atakavyo.
 
Last edited by a moderator:
Aiii jamani mbona muda tuu

Good girl.

Will you marry me?

Usisahau kuna ka wimbo ka Bob Marley kanaitwa So much trouble in the world. Ntakuwa nakapiga wakati tunatengeneza mtoto.
 
Ha haaaa

Mie ntakuwa wa ngapi??

Hapana aisee and btw nini ndoa mwenzioo!



Good girl.

Will you marry me?

Usisahau kuna ka wimbo ka Bob Marley kanaitwa So much trouble in the world. Ntakuwa nakapiga wakati tunatengeneza mtoto.
 
Hamna sauti na nyimbo nzuri kama ya mwanaume akipiga bao Hua nazimia
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata

...kwi kwi kwi..JF is never boring
 
Hamna sauti na nyimbo nzuri kama ya mwanaume akipiga bao Hua nazimia

Astaghafirulilah!!

Kumbe siku hizi mabao yanatoa sauti?

Afadhali sikupitia hatua hiyo kabla sijastaafu.
 
Napenda nisikie nyimbo inaitwa Nidhibiti...... inasema Raha zake nieleze milele nifarijike,miti shamba wamalize halafu wa weweseke....
 
Back
Top Bottom